Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!
Polisi wa sirro njaa sana