Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7

Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.

Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!

Polisi wa sirro njaa sana
 
Itakua ni dili limebuma,pole yao,ila bado wadogo,watadaka kazi nyingine hasa kama vyeti vyao ni vizuri,kama siyo vizuri warudie hata QT wanasafisha wanaajiriwa kada nyingine.Pole yao,inaonesha wana mazoea ya kufanya mambo hayo ya kukimbilia magendo,ila ndo hivyo wamekamatwa vibaya.
 
Polisi huko CCP hufundishwa kubambikia kesi,kuonea watu,rushes,kutumiwa nguvu nyingi na akili kidogo. Hayo ndo madhara ya mafunzo kutozingtia PGO na bado madhara ya PGO tutaendelea kuyaona mengi.
 
Ni dhahiri kabisa kwamba polisi hawajapitia PGO si ajabu kule CCP wanasoma jinsi ya kukabiliana na Chadema wanakosa kufundishwa Mambo ya Msingi.
Bahati yao wameingia Malawi, Kama wangeingia Kenya, wakenya walivyo na usongo baada ya mifugo yao kutaifishwa,. Yangerudi majina tu
 
Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi

Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi

Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo

Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu
Weka japo kapicha tuwaone
 
Ndugu Zanguni JF naombeni sapoti yenu nataka nijiunge na Jeshi la Polisi Tanzania
Lengo kubwa ni kwenda kuwanyoosha Maafande vilaza na wapumbavu wanaofuata oda za wanasiasa Uchwara!
Mwenye soft copy ya PGO naomba nianze kujinoa taratibu

Kwanza natanguliza interest kwamba naenda kulifuta Jeshi La Polisi na kua
Taasisi inayotoa huduma kiuweledi

Tukiweka Nia inawezekana,maana uchumia tumbo wa Hawa Policcm unatia kinyaa!
Nadhani tumeelewana Ili yatimie haya Katiba Mpya na PGO ziwe kipaumbele



PGO 255 itasema tumeifuta Polisi Tanzania kutoka kua jeshi na kua taasisi ya kutoa huduma kiuweledi
Vigezo vya muombaji awe amesoma
Shule zifuatazo
1.International School of Tanganyika
Na shule nyingine za kimataifa
Lengo tujenge Tanpol international!

Nawatakia kazi njema

Mr PGO wa Lumumba!
 
Polisi ni Civilians in uniform.... Inshort ni raia wakakamavu
Hayo ni maneno yakwenye khanga tu.Polisi wanahatarisha maisha yao kwaajili ya usalama wa nchi eti leo anatokea paka pori mmoja Otorong'ong'o anaongea uharo.Vuta picha tumbiwili wanalolipata polisi wa kenya au polisi wa Nigeria ni timbwili lile lile ndilo wanalokumbana nalo wanajeshi.Hadhi ya polisi nikubwa sana katika nchi,kwajirani hapo polisi wanalinda mipaka...

Makosa kazini yapo tu ila kinachowasumbua polisi ni watu wakucheza na media sana yani jambo lakuaibisha taasisi unakuta RPC analitangaza[emoji1][emoji1] mapolisi bana sometime igeni jwtz.
 
Hii ni ishara mbaya kwa kina kingai, hawa hawakufuata GPO kama wao, ngoja jeshi lijithibitishie baada ya maamuzi ya jaji kwamba GPO haikuwa inazingatiwa
wale wakifanywa kitu naacha kutumia JF, tukio la mbowe lina baraka za jumba lile
 
Back
Top Bottom