Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

Du!! Ajira zenyewe ngumu mura.

ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYO
 
Ata katika biblia waliambiwa watosheke na mishahara yao, hawa jamaa wakiona pesa akili wanaweza kuziacha popote
CCM ndio imewafanya wawe watumwa maskini jamani na wanawatumia Kama makondom. Wakisikia kongamano la Chadema kudai KATIBA mpya mnakwenda kuwapiga ili Hali KATIBA mpya ingewasaidia kuboresha maslahi na utu wenu. Ona Sasa mmefukuzwa kazi na Mkoloni wenu mtajutaa.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Da kidogo tu umeingizia dukuduku lako mwanangu, si polisi wa Tanzania tu hata wakati wa Biblia walikuwa hivyo hiyo ndiyo hoja, maumivu yako hayaingii hapa ndiyo maana hata Bob aliimba bufaloo soja ni hicho hicho. Chadema inawatesa sana.
 
Ebwana eeh kama akifanya ujanja asiporudisha sare anahama nazo mkoa mwingine anakua anatapeli watu.

Anajua muundo wa jeshi la polisi na taratibu zake so inakua rahisi tu kukamata vinabo na kuvipiga.
 
Lakin pia pongez kwa wananch wa malawi sio mazombi. Kitendo cha kuwatwanga hao vilaza walioingia kwako ni cha kizalendo na kujielewa..

Njoo sasa huku kwetu kwa mazombi, kule Tarime one time police wakenya walivuka mpaka kuwakamata boda boda waliokuwa wanavuka mpaka kwenda Kenyaa..

Mazombi ya tz yakawa yanasema tu mbona wamevuka mpaka..mbona wanawashika..alaf yamekaa tu kutazama..
Vichwa wa wabongo vimejaa simba na yanga tu..shwaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…