Hamiyungu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 594
- 751
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Songwe limekamata kiwanda feki cha kutengeneza sukari katika eneo la Mlowo lililopo wilayani Mbozi, mkoani Songwe, pamoja na watuhumiwa 5 wakiwa na kilo 440 za sukari pamoja na vifungashio ambavyo vinadaiwa kutengenezwa nje ya nchi.
#ITVUpdatesView attachment 2439057
Hao jamaa hawatengenezi sukari ila ni wakwepa kodi,wanaingiza sukari kima gendo then wanatoa kwenye package yake na kuweka package inayopatikana tanzania.utakua na kiwanda bila shamba la miwa!?