saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We ulitaka aachiwe? Siku ukianza kuharisha kwa kutumia hiyo sukari wa kwanza kulalamika, mmelogwa na nani?Hapo wenye viwanda vikubwa wameshapenyeza rupia kwa askari ili jamaa ashughulikiwe,maskini nchi yangu!!!