Songwe: Polisi wakamata walioanzisha kiwanda feki cha Sukari

labda mtafute nchi yenu ambayo haitakuwa na utaratibu. hakuna nchi yoyote duniani inaendeshwa bila utaratibu. yaani mtu aje na petroli yake kutoka huko ajuako yeye aanza kuiuza mtaani bila kufuata utaratibu eti aachiwe tu!!!! hiyo haiwezekani!!!!
Nakubaliana nawe, nchi yetu inaendeshwa kwa utaratibu MBOVU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…