Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuiteka tu hiyo agenda na kuipeleka kwa maslahi ya taifa...So far she has nothing to loose kama atakubali but ku gain all...Tatizo ni wale wenye agenda zao binafsi ambao wanamzunguka...Akubali kusimama kama Amiri Jeshi Mkuu..tatizo ni kwamba amesalimu amri na kuamua kwamba Katiba Mpya na Tume Huru ni ajenda ya Chadema.
..Kwa mfano, sijawahi kumsikia akichangia hoja yoyote kuhusiana na mabadiliko ya kikatiba anayotamani yatokee Tanzania.
Kitu cha Bosnia hicho tuna dossier yake akijichanganya tu kaisha.Ana jipya? Huyu Mjema Hana jipya
Daah mchawi mchukie haki yake mpe...Shaka ameropoka lini na kitu gani?Aisee shaka mzee wa kitaulo out, bora maana alikua hajui cha kusema anaropoka tu hovyo
Ni sawa Chawa nimekuelewa, leomulkenda kwenye ule uzinduzi wa machawa?Daah mchawi mchukie haki yake mpe...Shaka ameropoka lini na kitu gani?
He was very calm and composed....Alionyesha heshima sana kwa viongozi wake wote tena hata watanzania aliwaheshimu kwenye maongezi yake
Yale mambo ya Mombasa yameibuka tena.Wamebugi sana kumtoa Shaka Hamdu Shaka,
Jamaa alikuwa anaisaidia sana CCM,
Shaka ni hazina kwa Chama, Why aachwe?
We unawaza ukabila, wenzako wanawaza maendeleoMkoa wa Kilimanjaro umetoa viongozi wawili waandamizi chamani. Macha na Mjema. Wachaga na wapare oyeee
Duuh hawa ni wachanga kisiasa wote kabisa
Unaweza kukaa kwenye siasa hata miaka 30 lakini usipevuke kisiasa ...hana lolote subiri utaonaSofia mjema ni mchanga kisiasa????
You are joking fam.
Au unataka wazee kama akina mkuchika??
Dah.. Vile vichwa vilivyokuwa vinajipitishapitisha mitandaoni vimeliwa vyote
Ameongea binti kiziwi mimi nani nipinge?😅Anamringi chaguo sahihi, mtendaji mzuri sana.
Hujaambulia chochote mukuu?Shaka atakuwa mbunge wa kuteuliwa hivi karibuni!
Kaachiwa kimkakati!
TUSUBIRI
Hujaambulia chochote mukuu?
Huyo ni mama ila pisi kali Enzi zake alikimbiza sanaHuyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine