Haya Basi ChaumaWe nae,kwa hiyo chadema ndio chama pekee cha upinzani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Basi ChaumaWe nae,kwa hiyo chadema ndio chama pekee cha upinzani?
Usikute leo siku ya wajinga duniani?Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Dkt Sophia Mjema amechukua nafasi ya Shaka Hamdu Shaka, yeye ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi.
Sophia anakuwa mwanamke wa kwanza kushika nafsi hiyo.
Wanaomfahamu wanaelewa kwamba Sophia ni mtu wa kazi, mtu wa siasa. Mwaka 2020 alionesha vizuri uwezo wake kwenye siasa za chama alipotaka Ubunge wa Ilala na kuleta upinzani mkubwa kwa Zungu.
akiwa Mkuu wa Wilaya katika maeneo yote aliyopita nako hakuwa mtu wa kupoa.
Wakati huu ambapo Mikutano ya Siasa itafanyika, wapinzani watarajie mtu makini zaidi na mtata kuliko Shaka.
Naiomba CCM amani na furaha...Maana bila CCM imara nchi itayumba...Mkachape kazi comreds, taifa linawategemea
Sophia Mjema hajui hata kujieleza.
Uenezi unahitaji mtu kichwa sana
Aisee shaka mzee wa kitaulo out, bora maana alikua hajui cha kusema anaropoka tu hovyoAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Ana comnection?Huyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine
Kila la kheri, sophia ni mtendaji makini ni pigo kwa vyama vya upinzani.
Mama mrembo Sana..huwa namtamani sana huyu mtoto wa kipareHuyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine
Akileta Katiba mpya hata mimi nitajitolea kumpigia kampeni kufa na kupona...Na tena kwa njia ambayo she will never think is possible...Rahisi sana kuzoa kura zote za watanzania kama tu utaenda strategically kule grass roots...Lakini bila Katiba Mpya nimeshaweka sandukuni hadi kadi yangu ya chama...I wont do nothing inayohusiana na politics..Nadhani Ssh amelenga kura za wanawake.
..kwa hiyo mwenezi akiwa mwanamke inaweza kusaidia kuwavutia wanawake kuiunga mkono Ccm.
Dah.. Vile vichwa vilivyokuwa vinajipitishapitisha mitandaoni vimeliwa vyoteAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Dah.. Vile vichwa vilivyokuwa vinajipitishapitisha mitandaoni vimeliwa vyoteAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Mawazo hayo yanaweza kumpa mrejesho hasi..Nadhani Ssh amelenga kura za wanawake.
..kwa hiyo mwenezi akiwa mwanamke inaweza kusaidia kuwavutia wanawake kuiunga mkono Ccm.
Dah.. Vile vichwa vilivyokuwa vinajipitishapitisha mitandaoni vimeliwa vyoteAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Ila mrembo sana huyu acha tufaidi uzuri wake sio mbayaAna jipya? Huyu Mjema Hana jipya
Akileta Katiba mpya hata mimi nitajitolea kumpigia kampeni kufa na kupona...Na tena kwa njia ambayo she will never think is possible...Rahisi sana kuzoa kura zote za watanzania kama tu utaenda strategically kule grass roots...Lakini bila Katiba Mpya nimeshaweka sandukuni hadi kadi yangu ya chama...I wont do nothing inayohusiana na politics
Kwani chadema mnalipi jipyaa? Zaidi ya yule jamaa yenu kuja kutuhubia ushuhuda wa mambo yake??Hata Sophia hamna kitu , huyu hawezi kupangua Spana za Chadema
Unamfahamu mume wake lakini?Yule kwanza nshapi.......a
Hongera SANA kwaoHalmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni