GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mfupi.Naona sura yake imepoteza nuru.. sijui shida ni nini? Ila GENTAMYCINE ni mtaalamu wa biology labda anaweza kutuambia nini shida.
Hivi aliyekufa hasa ni Rosemary / Sofia?Huyo alieanza kuongea akiwa amevaa blouse nyekundu
RIP Rosemary, na poleni sana ukoo wa Nyerere.
Namfahamu marehemu baba yake (Capt John Nyerere) alikuwa pilot fighter jets pale Ngerengere.
Naaam mtaalamuKaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mafupi.
Ngoja GENTAMYCINE niendelee Kusikiliza Wimbo wangu ninaoupenda wa 'Inde Monie' wa Kandabongoman ambapo 'Dally Kimoko' amelikung'uta vyema sana Gitaa lake zuri la Solo mwanzo mwisho.
Mkuu 'Dally Kimoko' analijua Solo sana.Naaam mtaalamu
Ngoja nikasikilize hichi kibao asubuhi hii.. umesema songi moja wapo ni Indemonii?Mkuu 'Dally Kimoko' analijua Solo sana.
Usikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.Ngoja nikasikilize hichi kibao asubuhi hii.. umesema songi moja wapo ni Indemonii?
Mzena Hospital Nako!!!
Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.
View attachment 1870276
Kaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mfupi.
Ngoja GENTAMYCINE niendelee Kusikiliza Wimbo wangu ninaoupenda wa 'Inde Monie' wa Kanda Bongoman ambapo 'Dally Kimoko' amelikung'uta vyema sana Gitaa lake zuri la Solo mwanzo mwisho.
Wewe ukipona, huwa unatangazia wapi?Tunezoea kusikia kiongozi x alikuwa muhi2 kwa matibabu, leo ameruhusiwa na amepona! Mifano ipo mingi...Mama Janeth Magufuli, Dr. Kigwangala, Hata Malim Seif, etc! Sikuwahi kusikia hivyo kwa hilo li nzena mfyuuuuuu 😡!
duuuu.....me nasikliza nyimbo ya lambwatika...mkuuNiliambiwa kuwa Captain John Nyerere alikuwa na "mdudu" lakini siku hizi mdudu hawasumbui kabisa vijana wa generation hii: una uhakika?
Comment zako zinanifanya niamin kuwa ugonjwa alioumwa mwendazake unaujuaUsikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.
Kupumua ama kutokupumua na ubongo kukosa oxygen ni vitu viwili tofauti. Unaweza kupigambizi kwa dakika 15 bila kuoumua lakini ubongo ukaendelea kupata oxyegn na kwa hiyo usife.Dk 2 hapana.
Wastani unaweza kusurvive kuanzia dakika 4 mpaka dakika 6 bila pumzi ila ukishapona kwa huo muda unaweza pata kiharusi au ubongo ukawa umeshake.
Nilifikiri umemaanisha kifo hicho cha dakika mbili kitatokana na kukosa pumzi ndiyo maana nikaandika vile.Kupumua ama kutokupumua na ubongo kukosa oxygen ni vitu viwili tofauti. Unaweza kupigambizi kwa dakika 15 bila kuoumua lakini ubongo ukaendelea kupata oxyegn na kwa hiyo usife.
No Comment...!!!Niliambiwa kuwa Captain John Nyerere alikuwa na "mdudu" lakini siku hizi mdudu hawasumbui kabisa vijana wa generation hii: una uhakika?
Dally Kimoko Solo Guitar 1981 Virus tu.Comment zako zinanifanya niamin kuwa ugonjwa alioumwa mwendazake unaujua
R.I.P Sophia.Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.
View attachment 1870276