Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Mamlaka gani? Mamlaka ambazo zimejaa criminals and child traffickers? Pedophilians?
Endelea kula matobolwa na maziwa tu huko kwenu huku unajaza takataka za wazungu wehu za mtandaoni zisizo na kuchwa wala miguu kichwani kwako.
 
Endelea kula matobolwa na maziwa tu huko kwenu huku unajaza takataka za wazungu wehu za mtandaoni zisizo na kuchwa wala miguu kichwani kwako.
Sawa mkuu wacha niendelee kujaza hivyo kichwani mwangu.
 
Sausages, kuku wa kisasa, eggs za kisasa, Fast Food like KFC, McDonalds, Burger King, Texas Chicken, Taco Bell, Subway, Wendy’s, Dunkin’ Donuts all junk food out there + sodas + Starbacks avoid by all means if you wanna live longer in this world..!!
 
Sausages, kuku wa kisasa, eggs za kisasa, Fast Food like KFC, MacDonalds, Burger Kings, Texas Chicken, all junk food all out there + sodas avoid by all means if you wanna live longer in this world..!!
Kuna mtu aliwahi kusema wazungu wameendelea kwa kuleta supu za makopo
 
Kuna mtu aliwahi kusema wazungu wameendelea kwa kuleta supu za makopo


Kaa mbali kabisa na hizo highly processed foods and very dangerous, take any fast food like McDonald weka ndani itakaa hata mwaka haiozi, meaning bacteria hawali kabisa, that is very very dangerous, ukiona chakula hakiozi, jua bacteria hata hawagusi, hiyo ni poison..!!
 
Sijui nani alianzisha mfumo wa watu kuwatawala watu kiuahalisia ilibidi tuishi free kama wanyama ambao hawana serikali,huu utaratibu wa kuwafanya watu wawe na nguvu dhidi yetu matokeo yake ndio haya mtu anaweza hata kutoa amri watu watembee uchi na ukikiuka ule shaba na watu watatii
 
Sahihi kabisa, pia tukisema ipo agenda ya depopulation watasema ni Conspiracy, lengo la hivyo vyakula ni kumaliza watu na kutengeneza pesa kutokana na magonjwa kama cancer, obesity.
 
Masikini Wakorea🥺
 
🤝
Na tusisahau mazoezi ya mwili.
 
Kwani mtu asipokula soseji anakufa
 
Kwamba vyakula vya mcdonald haviozi aisee mbona unadanganya sana alafu waziwazi
 
Hata Chips mayai na ugali wa sembe ni junk foods, kaa navyo mbali.
 
Ataliwa timing tu huyo
 
Sahihi kabisa, pia tukisema ipo agenda ya depopulation watasema ni Conspiracy, lengo la hivyo vyakula ni kumaliza watu na kutengeneza pesa kutokana na magonjwa kama cancer, obesity.
Kabla ya hivyo vyakula kuja Afrika watu walikuwa wanaishi maisha marefu sana na kulikuwa hamna magonjwa kama kansa na kisukari kwakuwa watu walikuwa wanakula vitu asilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…