Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Vyakula vyote vinaoza acha kudanganya watuSio tu haviozi, pia ukimpa hata mbwa hali...
Fanya uchunguzi ujue mengi, kubali kuwa open minded na kujifunza mambo mapya
Hata Chips mayai na ugali wa sembe ni junk foods, kaa navyo mbali.
Ana roho mbaya.Mwamba mbabe huyu, kuna sehem niliona eti kila nyumba lazima iwe na picha yake kama vile tunavoona mapicha ya rqis kwenye ofisi za kibongo! Na sku yake ya kuzaliwa ni national holiday. Nchi yenyewe karithi kutoka kwa mshua wake alafu kiburi hatari
Kulikua hamna magonjwa ilihali hata vipimo kuliwa hamna acha uongo sasa hayo magonjwa walikuwa wanapimaje sababu vipimo kaleta mzunguKabla ya hivyo vyakula kuja Afrika watu walikuwa wanaishi maisha marefu sana na kulikuwa hamna magonjwa kama kansa na kisukari kwakuwa watu walikuwa wanakula vitu asilia.
Sun ni kama Gazeti la ijumaa ama kiu huku Tanzania. Asilimia kubwa ya mambo tunayoambiwa kuhusu North Korea sio ya kweli.Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---
North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a crackdown on Western culture infiltrating the hermit kingdom.
Dictator Kim Jong Un has declared that serving the sausage was an act of treason, The Sun reports, amid the rising popularity of a South Korean dish inspired by the US.
People caught selling or cooking hot dogs face the prospect of time in the country’s infamous labor camps, while Pyongyang has also decreed that divorcees could also be jailed.
As part of the regime’s efforts to quash capitalist culture among citizens, it has forbidden the sale of budae-jjigae – a dish imported from pro-Western neighbor South Korea.
North Korean dictator Kim Jong Un has banned the sale of South Korean dish budae-jjigae.
North Korean dictator Kim Jong Un has banned citizens of eating hot dogs. Korean Central News Agency/Korea News Service via AP
People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp.
People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp. Paul Martinka
The spicy Korean-American hotpot – which means “army base stew” – includes hot dogs or spam among it ingredients.
It was born from meats discarded by US soldiers based in the region during the Korean War of the 1950s, with hungry locals using the items to create stews.
The fusion fare is believed to have crossed the border into North Korea some time in 2017, decades after it was invented in the south.
Kwamba ukitengeneza nyumban sio junk food tena hii ni kali aiseeMayai ya kienyeji na chips hazina shida kabisa utengeneze kwako nyumbani elewa hilo vema, sbb mafuta yako nyumbani ni mazuri
Mkuu swali dogo.Kulikua hamna magonjwa ilihali hata vipimo kuliwa hamna acha uongo sasa hayo magonjwa walikuwa wanapimaje sababu vipimo kaleta mzungu
Kwamba ukitengeneza nyumban sio junk food tena hii ni kali aisee
Au ulishawahi kusikia wahadzabe wanalalamika hawana hospitali?Kulikua hamna magonjwa ilihali hata vipimo kuliwa hamna acha uongo sasa hayo magonjwa walikuwa wanapimaje sababu vipimo kaleta mzungu
Hujui kuhusu hilo, fanya tafiti kwanza kabla ya kushutumu wengine kusema uongo.Vyakula vyote vinaoza acha kudanganya watu
🤝
Na tusisahau mazoezi ya mwili.
Anakuambia ukitengenezea nyumbani zinakua sio junk food na zinaoza ila zikipikwa na mcdonald zinakua junk food na hazioziWhat is junk food?
Kwamba vyakula vya mcdonald haviozi aisee mbona unadanganya sana alafu waziwazi
Haya ni mawazo yako na ni uongoSio haviozi tu, vimeekewa hadi addictives ingredients zinazokufanya kama teja la kula vyakula hivyo, which is very dangerous, yaani ukiaanza kula hivyo vyakula is like unakula addictives za aina fulani za madawa ya kulavya, just like Coke, na unaanza kushindwa kuacha kula, utakula mfululizo sbb of those addictives, na utakuwa teja lao bila ww kujijua
Watu walikuwa wanaishi maisha marefu sana ya wastani wa miaka mingapi? Wahadzabe wanaishi wastani wa miaka mingapi?Kabla ya hivyo vyakula kuja Afrika watu walikuwa wanaishi maisha marefu sana na kulikuwa hamna magonjwa kama kansa na kisukari kwakuwa watu walikuwa wanakula vitu asilia.
Unawapimaga au ni hisia zakoMkuu swali dogo.
Ulishawahi kusikia Mhadzabe anaumwa kansa au kisukari?
Au ndo vipimo bado havijafika huko?