Kila binadamu ana makosa yake wewe usichukulie tu Nyerere ni mzur kwa kila kitu. Ushajiuliza kwanini Wakat anaondoka madarakan alisema siasa yake imefeli.
Unapo kuwa unaongelea jambo lolote hakikisha unakuwa na uwelewa nao ,tatizo la waafrika ni kujitia ujuaji wakati vichwani ni zero.Ulituma thread kuhusu wakristo inanihusu nini mimi hiyo?
Nimesema hivi mahakama hiyo ni chombo cha marekani kuuhadaa ulimwengu hakuna kitu itaifanya Israeli.
Sema wewe watafanya nn wakikuta Israel ni wakosaji?
Embu sema acha kujichekesha kama mwanamke aliyeona bwana.
Wewe ni mdini kweli sababu nimejaribu pitia nyuzi zako nimeona kama alivyo yule mkenya mpumbavu anayeshabikia Israel.
ICJ ndugu inawahusu tu Waafrica na nchi omba omba, kwanza mpaka uwe member ndo ushtakiwe huko, kama sio member hawana cha kukufanya, pili hawana jeshi wala tool yeyote ya kuichukulia nchi au mtu hatua mpka serikali husika ziridhie, Tatu , Toka imeanzishwa umewahi kusikia kiongozi gani wa nchi inayojielewa yeyote kafungwa na hako kamahakama, labda wamshtaki kingwendu basiMkuu mada inahusu ICJ huko haongelewi mtu au kikundi cha watu. Huko ni nchi kwa nchi. Unaona ulivyo nje ya mada mkuu?
Tunayo majinga mengi yasiyojitambua. MK254 kuna nduguyo asiye na ujumbe wa mtaa huku lakini mwingi wa akili.
Wewe mpumbavu msukule uliyelemazwa na dini kajitambue na mtaliwa sana pumbavu, ona msivyo hata na uzalendo
Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea. --- Ili kujua ukweli na kina cha habari hii tembelea Jukwaa la Jamii Check - KWELI - Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania...www.jamiiforums.com
Upo Gaza?,,,,umewaona Hamas wakifanya hivyo?Nimeielewa sana , ninachokichukia sana kwa HAMAS wanavizia , wanashambulia halafu wanajificha nyuma ya Raia , huo ni UGAIDI
Shida maneno mengi .Unapo kuwa unaongelea jambo lolote hakikisha unakuwa na uwelewa nao ,tatizo la waafrika ni kujitia ujuaji wakati vichwani ni zero.
Kama hiyo kesi isinge kuwa na maana Israel isingekuwa ina haha kutuma mawakili wake waende kujitetea kwenye mahakama hiyo.
Unajua ni gharama kiasi gani za kidipromasia kwa taifa kutambulika kama mfanya mauaji ya kimbali?
Au ww unadhani dunia ya sasa ni kama ya zamani kila kitu kinamilikiwa na Marekani?
Hivi ww kwenye fikira zako ilisha waza kuwa ipo siku wahuthi wataweka mzingiro wa baharini dhidi ya Israel na kushababisha maafa kwenye uchumi wake?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
UnJua sisi wabongo tunaendeshwa na hisia na mihemko ya kidini kama huyu mtoa mada, huyu ni mdini ndio unamsumbua cheki nyuzi zake hana tofauti na yule jamaa mkenya anayetetea nyuzi za Israel ni upumbavu mtupu.ICJ ndugu inawahusu tu Waafrica na nchi omba omba, kwanza mpaka uwe member ndo ushtakiwe huko, kama sio member hawana cha kukufanya, pili hawana jeshi wala tool yeyote ya kuichukulia nchi au mtu hatua mpka serikali husika ziridhie, Tatu , Toka imeanzishwa umewahi kusikia kiongozi gani wa nchi inayojielewa yeyote kafungwa na hako kamahakama, labda wamshtaki kingwendu basi
Wakristo mmelogwa na papa.wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
1. Udini wa mleta mada unausoma wapi ndugu?UnJua sisi wabongo tunaendeshwa na hisia na mihemko ya kidini kama huyu mtoa mada, huyu ni mdini ndio unamsumbua cheki nyuzi zake hana tofauti na yule jamaa mkenya anayetetea nyuzi za Israel ni upumbavu mtupu.
Eti mtu anatumia Uzi kuhusu wakristo ukweli wasiopenda kuusikia sasa nashangaa huyu mtu ni tahira au mzima?
Nimesema hapa mahakama hiyo hakuna kitu itaifanya Israeli ni uongo wa marekani kuendelea kuonyesha wana demokrasia na KUDANGANYA ulimwengu. Ila si tamko la mahakama hiyo kusimamisha vita.
anakomenti kwa kuvimba mpaka anatia aibuHuyo ndio wale watu wanaojifanya wanajua kumbe hawajui lolote
sidhan huyo mtu kama anakuelewa1. Udini wa mleta mada unausoma wapi ndugu?
2. Tatizo la watanzania kama wewe ni ujinga:
View attachment 2868794
3. Hapo #2 kunakuhusu sana na Bado hujitambui.
4. Uzi upi au comment yangu ipi ambayo ina hata chembe tu ya udini?
Bure kabisa!
sidhan huyo mtu kama anakuelewa
I AM CHRISTIAN AND I STAND WITH THE RIGHT ,I STAND WITH PALESTINE
Utakuwa genious umeelezea kwa upana kuliko mm"Standing with a Palestines to many, is a matter of principle; not religion."
Utakuwa genious umeelezea kwa upana kuliko mm
Yaan acha kabisaanakomenti kwa kuvimba mpaka anatia aibu
Wayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014