South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

Kila binadamu ana makosa yake wewe usichukulie tu Nyerere ni mzur kwa kila kitu. Ushajiuliza kwanini Wakat anaondoka madarakan alisema siasa yake imefeli.

Kila binadamu ana makosa yake ila bila CV ni sawa na mwanafunzi wa chekechea kumkosoa profesa kwenye maeneo yake.
 
Unapo kuwa unaongelea jambo lolote hakikisha unakuwa na uwelewa nao ,tatizo la waafrika ni kujitia ujuaji wakati vichwani ni zero.
Kama hiyo kesi isinge kuwa na maana Israel isingekuwa ina haha kutuma mawakili wake waende kujitetea kwenye mahakama hiyo.
Unajua ni gharama kiasi gani za kidipromasia kwa taifa kutambulika kama mfanya mauaji ya kimbali?
Au ww unadhani dunia ya sasa ni kama ya zamani kila kitu kinamilikiwa na Marekani?

Hivi ww kwenye fikira zako ilisha waza kuwa ipo siku wahuthi wataweka mzingiro wa baharini dhidi ya Israel na kushababisha maafa kwenye uchumi wake?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mada inahusu ICJ huko haongelewi mtu au kikundi cha watu. Huko ni nchi kwa nchi. Unaona ulivyo nje ya mada mkuu?
ICJ ndugu inawahusu tu Waafrica na nchi omba omba, kwanza mpaka uwe member ndo ushtakiwe huko, kama sio member hawana cha kukufanya, pili hawana jeshi wala tool yeyote ya kuichukulia nchi au mtu hatua mpka serikali husika ziridhie, Tatu , Toka imeanzishwa umewahi kusikia kiongozi gani wa nchi inayojielewa yeyote kafungwa na hako kamahakama, labda wamshtaki kingwendu basi
 
Tunayo majinga mengi yasiyojitambua. MK254 kuna nduguyo asiye na ujumbe wa mtaa huku lakini mwingi wa akili.

Wewe mpumbavu msukule uliyelemazwa na dini kajitambue na mtaliwa sana pumbavu, ona msivyo hata na uzalendo
 

1. Mpumbavu zezeta uliyelemewa na dini ni wewe.

2. Tafadhali usiniwekee manyuzi uchwara yako nisiyopoteza muda wangu hata kuyaangalia tu.
 
Shida maneno mengi .
Nimesema hivi hakuna kitu mahakama hiyo inaweza kujifanya Israel

Kama Israel ikikutwa na hatia unafikiri mahakama hiyo itafanya nini?kuwazuia? Embu sema ili baadae tuseme jamaa alisema.

Mimi ninasema nikumchezea Simba matako tu hao Israeli ni wadhalimu, Kiko wapi Russia alitishiwa na bado anaendelea kumega ardhi.
Tuache maneno ya vijiweni nani mwenye nguvu ya kumaliza hiyo vita kama sio marekani? Cheki alivyo mnafki hakuna anachofanya kuonyesha kumaliza vita.
Tuache kudanganyana hicho kinachofanyika kelele za chura.
Toa jibu Israel itafanywa nini?
Nipo pale utakuja kusema hizo ni kelele za chura
 
UnJua sisi wabongo tunaendeshwa na hisia na mihemko ya kidini kama huyu mtoa mada, huyu ni mdini ndio unamsumbua cheki nyuzi zake hana tofauti na yule jamaa mkenya anayetetea nyuzi za Israel ni upumbavu mtupu.

Eti mtu anatumia Uzi kuhusu wakristo ukweli wasiopenda kuusikia sasa nashangaa huyu mtu ni tahira au mzima?

Nimesema hapa mahakama hiyo hakuna kitu itaifanya Israeli ni uongo wa marekani kuendelea kuonyesha wana demokrasia na KUDANGANYA ulimwengu. Ila si tamko la mahakama hiyo kusimamisha vita.
 
Wakristo mmelogwa na papa.
 
1. Udini wa mleta mada unausoma wapi ndugu?

2. Tatizo la watanzania kama wewe ni ujinga:



3. Hapo #2 kunakuhusu sana na Bado hujitambui.

4. Uzi upi au comment yangu ipi ambayo ina hata chembe tu ya udini?

Bure kabisa!
 
sidhan huyo mtu kama anakuelewa

1. Mtu Kurukaruka huku na kule bila ushahidi wowote aki brand watu udini kwa vile wamempinga mwisraeli kwa hakika ni upumbavu.

2. Mandela, Lissu, Ramaphosa, na wengi wetu tunampinga mwisrael kwa udhwalimu wake.

3. Akili ndogo ndogo za kina NK254, Fantan20 na wenzao ni za kuhurumiwa; simply ni akili mufilisi!
 
Wayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…