Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari

Agiza gari hii pichani aina ya Subaru Impreza- Sports ya 2012 yenye Km 95,000 na Cc 1600 kwa 15,000,000 gharama zote. Malipo ya awali 7,300,000

Tembele ofisi zetu za Dar au Mbeya au piga 0746 267740.

 

Matapeli weng mkuu
 
Injini ya gari Nissan Vannette NV200 ya mwaka 2005 inasumbua.
Natamani kununua nusu injini.
Inapatikana kwa kiwango/bei gani?
 
Mkuu tunaweza kushauriana kidogo hapo
 
Samahani kwa usumbufu hapa kidogo naomba niulize swali hapa kwa wale unaojua. Nataka ni nunue volkswagen t roc 2018 hii gari ni nzuri san imetulia na ulaji wake wa mafuta ni wakawaida san sasa nilikuwa natak ushaur wenu kwa mafundi au kwa wale wazoefu wa magari unaweza nishauri chochote
 
Hujafanania wanunuz wa Volkswagen. Umekaa Kama mnunuz wa FEKON
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…