Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan
Roho yangu iko hapa

1625206889318.png
 
Hii ndiyo ile T8 supercharged na turbocharged?

Halafu hivi hapa Minazini hakuna hata mtu aliyeingiza hili toleo la pili la XC90?
Hakuna mkuu. Wenye hela ya kuagiza gari hio wanawaza VX
 
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari

Agiza gari hii pichani aina ya Subaru Forester ya 2008 na Cc 2000 kwa 20,100,000 gharama zote. Malipo ya awali 10,600,000

Tembele ofisi zetu za Dar au Mbeya au piga 0746 267740.

VideoCollagePG_1625553585688.jpg
 
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari

Agiza gari hii pichani aina ya Volkswagen Golf ya 2006 yenye Km 98,000 na Cc 2000 kwa 12,900,000 gharama zote. Malipo ya awali 5,800,000

Tembele ofisi zetu za Dar au Mbeya au piga 0746 267740.

VideoCollagePG_1625553703119.jpg
 
Back
Top Bottom