v
Wao wa Rusia hawafi?

Ni kwamba West wanaenda kwa mahesabu katika hii vita. Kubwa zaidi ni kumdumaza Putin kiuchumi na hilo haliwezi kutokea kwa ghafla.
Subiri miaka 5 ijayo uone vilio kutoka kwa Putin.

arl
raha ya ngumi ni kutazama na sio kuingia ulingoni
 
Saudi Arabia nayo yachomoa kwa sababu hizo hizo za uchina
 
Putin akijaribu kutumia nukes tu ameisha,hata tu akijaribu kutumia hizo tactical nukes mwisho wake ndio utakua umefika.
Ila Marekani akijaribu kutumia silaha za nyukilia ndio atabaki salama?
Kwa hiyo kwako wewe akitumia Marekani ni halali,lkn akitumia Urusi ni haramu.
Hivi nyinyi mmekula maharage ya wapi?
Kwa taarifa Yako Urusi sio Japan ukae ukijua hilo.
 
Hakuna kitu kimewachanganya wamarekani kama umoja wa Brics jinsi unavyokua kwa Kasi kiasi Cha Kupelekea kuua USD.
Wamarekani wamepanik sana kuona USD Yao inaenda kuanguka.
Kwa kifupi hakuna namna ya kuiokoa.
Jambo jingine ni kwamba Dunia hivi Sasa haiiheshimu Tena Marekani wala haiiogopi Tena.
Hicho kitu USA anakiwaza sana.
USA anawaza anguko lake.
 
Umeongea kishabiki Sana.... Russia Hana jipya fala mmoja
 
Wao wa Rusia hawafi?

Ni kwamba West wanaenda kwa mahesabu katika hii vita. Kubwa zaidi ni kumdumaza Putin kiuchumi na hilo haliwezi kutokea kwa ghafla.
Subiri miaka 5 ijayo uone vilio kutoka kwa Putin.

a
mkuu kudumaza afrika wanaweza, ila Russia hawawezi.....
yule amebadilisha masoko yake, anao watalaamu wa kuzalisha bidhaa ndani kwake, ana malighafi zote muhimu.....

saizi europe uzalishaji wa viwandani umeshuka, subiri utakapoanza kupamba uone watakavyorudi russia kununua gesi na mafuta!
 
Ikiwa nchi zitaamua kushiriki moja kwa moja katika mzozo huo, tunaweza kufanya vivyo hivyo - Putin
 
Katibu mkuu wa UN hatahudhuria mkutano wa wa Ukraine Peaceful Conference nchini Switzerland

Walianza China kukataa kuhudhuria sasa India, Saudi Arabia the list goes on na sasa UN chief secretary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…