Rungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]
Mwambie na wewe mgombea wako abebe flyovers aende nazo vijijini kwenye kampeni!
Mi naamini anahitaji msaada ni mgonjwahana akili boya uyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana wa ccm wana nongwa na wivu sana.Huyo wa kwako anayekula mahindi ya kuchoma barabarani huku analindwa na mali ya umma mbona humkemei?
Inaonyesha ni jinsi gani wanavyotudharau wananchi na vyombo vya habari vinampa kiki kabisa ama kweli Elimu yafuta ujingaHiii wajameni,
Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?
Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyangβanyiro!
Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.
Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!
Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.
Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.
Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.
[emoji23][emoji23][emoji23] mabarabara na mandege!!Mwambie na wewe mgombea wako abebe flyovers aende nazo vijijini kwenye kampeni!
Naona watu washaanza kumuonea wivu[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu ashinde mechi zake.Hebu tuache na Rungwe wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu mzee akitoa ratiba yake, amini hata polisi hawataweza kudhibiti umati wake!!Hahahaha!!! Ni kweli ratiba ni muhimu sana kila siku watu tujue vyuku tunagongea wapi
Ka kipanya katumbafu!Wadau huo, wakiufinya ubweche
View attachment 1543804
Hapo polisi wakijichanganya ndo wataelewa rasmi nini maana ya nguvu ya umma.Huyu mzee akitoa ratiba yake, amini hata polisi hawataweza kudhibiti umati wake!!
Kwa taarifa yako polisi wana njaa kuliko wananchi ... Watachofanya sitaki kusimulia kwa sasa subiri ujionee mwenyewe sipunda akiamza kufanya yakeHuyu mzee akitoa ratiba yake, amini hata polisi hawataweza kudhibiti umati wake!!
Jamuhuri ya MuunganoMkuu nchi hii ya Tanzania au nchi gani?