Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A very narrow view of the way forward for TanzaniansUnaona Sera ya chakula shuleni kama upuuzi sio.
Andaa ndomo kwa watoto wa kike na kiume maana mimba zinawahusu kwa kwa kula chips za watu
“Never underestimate the power of stupid people in large groups.”Sidhani kama Rungwe is a thinker
A very narrow view of the way forward for Tanzanians
Sisi tutakulaKati ya wagombea ambao si tu hawako serious, akini naona ni kama dharau kwa nafsi ya watanzania, ni huyu mgombea urais wa chama cha CHAUMA Hashim Rungwe.
Mzee Rungwe kaja na sera za Ubwabwa kwa watu wote, tena anasema atakuwa na sera za Ubwabwa toka Mbeya!!
![]()
“Kama Chama changu kitanipa ridhaa ya kuwa mgombea nafasi ya Urais sitaacha sera yangu ya Wanafunzi kupata chakula mashuleni mchana, ndio lazima wanafunzi washibe ubwabwa mtamu wa moto ili akili zao zichaji ni jukumu la Kiongozi wa nchi kuhakikisha wanafunzi wanashiba.” Hashimu Rungwe - Mwenyekiti CHAUMA
Is this guy serious or he is wasting the people's time?
Tena mkuu hii ni rushwa kabisaWatu tunna shida na ajira anatuletea ubwabwa mshenz sanna
Na ww umeamini kabisaThis guy ni joker katika mambo nyeti!
Shauri lako!Sisi tutakula
Yeah!“Never underestimate the power of stupid people in large groups.”
Hivi wewe ukiambiwa nipigie kura ili ule ubwabwa wa bure, mtu huyo anakuchukuliaje?hivi unajua nguvu ya tumbo?Tumbo linaamua mambo mengi sana.Ukiwa na njaa hata kufikiri vizuri huwezi.
Huyu ana majibu ya matatizo ya Watanzania, njaa, njaa inawasumbua wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Spunda ni kiswahili au ni niniAnaitwa.....
Hashim Rungwe Spunda...[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo jina lake tu mimi huwa hoi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishajua kwa nini mchele wanatandikia kuku ndipo utamuelewa huyu mzee.Sasa huko kyela Mchele wanatandikia kuku kama ilivyo maranda,halafu Huyu mzee anaongelea ubwabwa