Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Daaah huyu ndo Rais Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Mimi ni mwanaume. Atanioaje? Nikisema ni ushoga mnakasirika wakati nmnauendekeza.Mkuu ufipa walikufanya nini? Kumbuka huyo jamaa ana mke so jipendekeze kwake kwa umakini
Nani kasema swala la wewe kuolewa? Ushauri wa bure kwako, acha kuwa unawaza maswala ya ushoga kila wakati, kumbuka aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.Mimi ni mwanaume. Atanioaje? Nikisema ni ushoga mnakasirika wakati nmnauendekeza.
Angepeleka Morogoro mji kasoro bahari, Dodoma wanahitaji mto wenye maji ya kunywa, kupikia, kunywesha mifugo yao na kumwagilia mashamba yao. Wagogo hawajui kuogelea baharini, wanaoga mchanga!Kuelekea uchaguzi kila mgombea anakuja na sera zake. Kama bado hukuisikiliza sera za Hashimu Rungwe hizi hapa.
1. Watoto kula ubwabwa shuleni
2. Kupeleka bahari ya Hindi Dodoma[emoji23]
Kwa sera hizo IKULU ataingia?
nalichukia huku mnalifanya. Anyway, TUKUTANE OKTOBA 28!Nani kasema swala la wewe kuolewa? Ushauri wa bure kwako, acha kuwa unawaza maswala ya ushoga kila wakati, kumbuka aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.
No problem Sir, mostly welcomenalichukia huku mnalifanya. Anyway, TUKUTANE OKTOBA 28!
Asante sana,ila inabidi afungue wigo wa taarifa, ni mtu muhimu sanaView attachment 1541729
Jana ameanzia Buza kutafuta wadhamini, leo naskia atakuwepo Mbezi Kibanda cha Mkaa, karibu sana mkuu. Mimi nitatembea nae kama mwenge