Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kuongezeka miaka mitano kwenye umri si haba jamani. Anahitaji kupumzika, lasivyo likitokea la kutokea hamtakosa la kusema pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna haja ya kuwaomba marais wastaafu Mzee Mwinyi na Kikwete ili waanze kumsaidia Magufuli, bila kujali kama Magufuli huwa anawananga hadharani kuhusu utendaji wao walipokuwa madarakani.
 

Magufuli anatekeleza ilani yake, ila kazi ya urais ni ofisi ya umma, hivyo mdahalo ni sehemu ya kupima anachofanya ikiwemo na kujibu dukuduku la watu. Siku akifanya shughuli zake binafsi, hakuna atakayehitaji mdahalo na yeye maana wala hawezi midahalo.
 
Uwezo wa wanachadema kufikiri ni mdogo sana aisee
 
Pumzi lazima ikate,show ya mtu moja ajipigie kampeni,apige ya wabunge na madiwani anaoweza kuwadhibiti badala wawakilishi wa wananchi siyo kazi rahisi kihivyo.
 
Nyie ni wapuuzi sana kila kitu kwenu ni hoja. Nyie ndio mbumbumbu mnaosemwa na Selemani bwege
Ok sawa, wewe tuambie basi Jiwe kule kwenye kale kakisiwa maarufu kwa maghagula kilichoko kwemye Z. Bictoria kaenda kuenda kifanya nn?? Safari hii hawatamsaidia kitu lazima akate moto jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pushup hazipo tena
 
Mwaka ule alipiga push-up ya nguvu iliyomwezesha kuzunguka nchi nzima safari hii ameishiwa pumzi mapema na hana jipya la kudanganyia wananchi amebaki kujitapa na mafanikio ya miradi isiyoonekana lakini takwimu kibao. Wananchi hawataki kusikia wimbo kila siku Magufuli angefanya hiki au kile kwa asilimia kadhaa kwa shilingi bilioni/trilion kadhaa, wanataka kuona mafanikio kama ilivyopangwa. Waone SGR imefika Moro Novemba,2019, Stieglers Gorge linajazwa maji, madege yanafika Chato kuchukua mbuzi na Wasukuma wameachana na Musukuma Bus Service. Miradi hiyo mitatu imesikika sana miaka 5 iliyopita wanataka iendelee kusikika ad infinitum!
 
Uwezo wa wanachadema kufikiri ni mdogo sana aisee
Ratiba ilikuwa inasemaje?? Tuanzie hapo. Kwanini ratiba iliyokwishapangwa ivurugike??

Maalim Seif kule Zenji bado hajatema nyongo. Mzigo wa lawama kabebeshwa yeye ataacha kuchoka??
 
Kwenye mikutano wasanii wanaenda kufanya nn? Hawa kina zuchu? Kwann wagombea wengine hawapewi airtime ya kutosha? Kwann magari ya ikulu yabandikwe karatasi za Ccm? Kwann mgombea wa CCM alipora KOROSHO za wana mtwara?
Umeongea mengi lakini ni malalamiko tu ya miaka yote.

Zuchu anakwenda kumburudisha mwananchi anayesikiliza sera.

Umeshajiuliza ni kwanini mikutano mikubwa ya Republican Party inakuwa na burudani za wanamuziki haswa wa kizungu?.
 
Madukuduku ya watu wanajibiwa na rais kwa muda wote anaokuwa ikulu.

Msafara unaposimama njiani rais huongea na watu na kuwauliza shida zao,anachokifahamu katika vikao vya aina hiyo ni zaidi ya mbwembwe za midahalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…