Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

JPM hana mpinzani wa kumpa Challenge uchaguzi uu, Lowasa kidogo alijitahidi. Kwasasa ata akifanya kampeni wiki moja kabla ya uchaguzi inatosha.
 
JPM hana mpinzani wa kumpa Challenge uchaguzi uu, Lowasa kidogo alijitahidi. Kwasasa ata akifanya kampeni wiki moja kabla ya uchaguzi inatosha.

Amefanya kazi kubwa sana. Humu jukwaani baadhi ya watu wanajaribu kujenga taswira ya uongo kuhusu uwezo halisi wa Tundu Lissu.
 
Uwezo wa wanachadema kufikiri ni mdogo sana aisee
Wanaccm hawana uwezo wa kufikiri kabisaaaaa
JamiiForums96250607.jpg
 
Ratiba ilikuwa inasemaje?? Tuanzie hapo. Kwanini ratiba iliyokwishapangwa ivurugike??

Maalim Seif kule Zenji bado hajatema nyongo. Mzigo wa lawama kabebeshwa yeye ataacha kuchoka??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok. Tufanye basi kapumzika sababu anamhofia Lisu na kashakata tamaa maana Lisu anampeleka puta. Na Lisu hapo oktoba 28 atapata ushindi wa 98% huku 2% wakigawana Magu na wagombea wengine.
 
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.

Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
Aliwadhibiti watu wa chama chake kwa kutotaka mtu amseme hakujua yuleee alieonja mauti yuko njiani na sasa ni uso kwa uso huyu anatakiwa kudhibitiwa hata kwenye bao la mkono sema hii tume mmmmm!!
 
Lazima atembelee gamboshi kama kawaida yake la sivyo mambo yake hayaendi vizuri.
Katika hali inayoashiri mikikimiki ya Campaign, Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi amepumzika kufanya kampeni.

Wachambuzi wa mambo wanatafsiri kuwa kampeni za Mwaka huu zimekuwa siyo nyepesi kama zilivyodhaniwa.

Magufuli ambaye mwaka 2015 alizunguuka kwa barabara nchi nzima, inaonekana dhahiri kuwa safari hii hawezi kuifikia rekodi ya mwaka huo. Safari hii inaonekana ameweka nguvu zaidi katika mikoa ya ukanda wa ziwa huku Wapiga kampeni wengine wakienda kanda nyingine.

Hata hivyo wapiga kampeni wake yaani Mama Samia na Kassim Majaliwa hawana mvuto mkubwa wa kisiasa wa kuweza kuchangia kura za maana kwa Magufuli.

Wakati huohuo mgombea wa Chadema Tundu Lissu ambaye ana faida ya kujinadi mapema makhsusi kwa ajili ya uchaguzi huu kwa kisingizio cha "kutafuta wadhamini" ameendelea kuchanja mbuga kwenye ngazi ya jimbo kwa jimbo baada ya kumaliza kupiga show kwenye ngazi ya kanda kwa kanda.

Sambamba na ngazi ya Jimbo kwa jimbo, Chadema watafanya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanamng'oa Magufuli madarakani.

Bado haijajulikana kama kupumzika huku kwa mgombea wa CCM ni routine ya kawaida tu au uchovu au afya, tunangoja chama cha mapinduzi kitujuze zaidi.

View attachment 1567050
Nyie ni wapuuzi sana kila kitu kwenu ni hoja. Nyie ndio mbumbumbu mnaosemwa na Selemani bwege
Sasa inakuwaje yule aliyekaa hospitali miaka mitatu anaonekana ngangari zaidi kuliko yule aliyekaa kwenye kiyoyozi Ikulu miaka mitano?
Mbumbumbu chadema
Kupumzika ni vizuri kwa afya,mwacheni mzee apumzike.
Ingawa ni mgombea, bado pia ni Rais wa nchi kwa hiyo hawezi kutumia muda wote kwenye kampeini na kusahahau majukumu ya uraisi. Halafu kama angekuwa na woga, ndipo angekuwa anafanya kampeini usiku na mchana lakini kwa vile hana hofu basi anaweza kuchukua time-off ili kufanya mambo mengine.

October 28 ndiyo fainali.
Kampeni ya CCM ya safari ni ya kisayansi zaidi CCM hatuna mcheche hutuoni na helikopta wala ndege slow but sure
 
Back
Top Bottom