Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
N kwa kiiba
 
Ibilisi israel afanye kazi yake basi
 
Tulivyoposti za MBEYA ulikubali. We muha wa hovyo sana. Kamsaidie Zitto kule anaangusha mbuyu kigoma. Acha kubwabwaja hapa. Hali ni tete kwa ccm. Zee lenu pumzi imekata wakati mwafaka kabisa
 
Aliyeona bango hata moja mtaani kwake la Lissu anishtue nione.
 
ccm ndio chama pekee kinachofanya kampeni zake kisayansi na kujaribu kuwafikia wapiga kura
Ni jimbo kwa jimbo,kata kwa kata
Tundu lissu anatoka anaenda bagamoyo kwa helicopter!kilometa 60 tu,hapo kati kawaacha wapiga kura kibao
Kisayansi.....gharama kubwa kuhonga na kubeba watu ndio sayansi. Sayansi lazima iwe effective na efficient kupunguza gharama cheki mabango nchi nzima kila kona bilions of money zimesagika. Angalia TAL hata bango moja hakuna lakini anahenyesha watu hadi vichwa vinauma wameenda kunywa maji kwanza
 
Umesahau na lile kundi la wasanii 100! Huku wengine wakimtungia nyimbo zenye maudhui ya kabila lake.

Sababu Watanzania kwa umoja wetu tumeamua kwa dhati kabisa kuikataa CCM!
CCM imefanyiwa ukatili sana na watanzania yaani miaka mitano yote usingejua kama kuna upinzani. Wananchi wamepiga U-turn hadi Magufuli haamini
 
Wamegundua wananchi hatuwasikili, ilani yao imejaa ulaghai mtupu, eti ajira mil, 8, zitatoka wapi?
 
Wewe haumo utakuwa unalia na mademu zako wa Kinondoni kwa Mboka.
Mkuu hakuna anayetetemeka, siku tatu Rais Magufuli amepumzika nyumbani maana ushindi ni ni uhakika zaidi ya 95%

Upande wetu Chadema hali ni mbaya tumeamua tusombe watuView attachment 1567356
Hivi kwa akili yako, chama ambacho hakina fedha za wizi ndani ya serikali na kinawaomba wananchi wachangie gharama za kampeni hata kwa elfu elfu kinaweza katika limited funds kiasi hicho kuwakodia watu malori?
 
Matatizo yao ni kwamba, wamezoea kushinda kwa asilimia zaidi ya 50! Sasa wamepania kushinda 100% - ndiyo maana unawaona hawatulii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…