Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwala wataambulia kukata mauno tu. Kura ni chadema na ACT wazalendoMtwara hawataki maneno, wanataka walipwe pesa zao wanazodai kudhulumiwa na serikali kwenye ununuzi wa korosho.
Pia msisahau kumkumbusha mama Samia kuwaomba radhi wanaMtwara kwa niaba ya boss wake kutokana na ile kauli yake ya kuwatishia kuwatandika virungu mpaka mashangazi zao ikiwa wataendelea kuwa na kihehere cha kudai pesa zao za korosho.
Huo msemo wa kingereza hujauelewa vizuri unamaanisha nini.
Maza anakwambia eti tumeshalipa bil. 20 za hizo korosho ila hawa jamaa wa chama cha ushirika ndio waulizwe zilipo.Mtwara hawataki maneno, wanataka walipwe pesa zao wanazodai kudhulumiwa na serikali kwenye ununuzi wa korosho.
Pia msisahau kumkumbusha mama Samia kuwaomba radhi wanaMtwara kwa niaba ya boss wake kutokana na ile kauli yake ya kuwatishia kuwatandika virungu mpaka mashangazi zao ikiwa wataendelea kuwa na kihehere cha kudai pesa zao za korosho.
Kwa hiyo tume huru hapana ili walalamike kwa hili ambalo ni wazi mno kwa mtu yeyote kuona kuwa siyo siri bali ni ukweli ulio wazi Kwamba CCM ni dhulumati.
Umeeleweka mkuu.
Mambo walishalipwa kitambo pesa za korosho na kama haitoshi haukuona wanajeshi walienda kusimamia malipo?Mtwara hawataki maneno, wanataka walipwe pesa zao wanazodai kudhulumiwa na serikali kwenye ununuzi wa korosho.
Pia msisahau kumkumbusha mama Samia kuwaomba radhi wanaMtwara kwa niaba ya boss wake kutokana na ile kauli yake ya kuwatishia kuwatandika virungu mpaka mashangazi zao ikiwa wataendelea kuwa na kihehere cha kudai pesa zao za korosho.
Amesema wapi haya mambo ebu acheni kumlisha maneno fuata link ukamsikilize vizuri Kusini Kuchelee na 2020 wamefanya maamuzi ya kwenda kumchagua Dkt Magufuli kwa nafasi ya uraisMaza anakwambia eti tumeshalipa bil. 20 za hizo korosho ila hawa jamaa wa chama cha ushirika ndio waulizwe zilipo.
Viongozi sometimes hawanaga aibu kupiga watu saundi.
Gesi ya mtwara ndio fahari ya kusini maana hata umeme unaotumika ni kutokana na kazi hiyo lakini pia gesi ya matumizi ya nyumbani kwa mtwara imeshuka sana yaani hadi rahaa wanamtwara kucheleee 2020 wanaenda kuichagua tena CCM na Jemedari wake Dkt MAGUFULIHivi ile gesi ya Mtwara iliishia wapi?
Mwambieni mama Samia aifafanue kwa wanaMtwara.
Korosho walipe kwanza waache utapeliView attachment 1568626
Asante sana Kusini #Kaziiendelee
iangalie picha kwa makini This is for Great Thinkers onlyHahahahaha wamekaa ili waonekane wengi
Mpiga picha hajui