Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kama kuna kosa ambalo wapinzani watalijutia sana ni kushindwa kupambana na CCM katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ushindi wa Kishindo ilioupata CCM ndio muelekeo rasmi wa Ushindi wa Magufuli,wabunge na Madiwani wa CCM.

Mtaji wa wenyeviti wa Serikali za mitaa na vijiji ni mtaji mkubwa na hazina kubwa ya Ushindi.
 
Unadhani safari hii mtaiba kura na kutangazwa kwa nguvu? Subiri , ikibdi ahat UN itaingilia kati!
 
Kwa jinsi utafiti uliofanyikak, Uchaguzi ukifanyika kesho Rais Magufuli atashinda kwa 89%
Na kama Uchaguzi Mkuu utafanyika October atashinda 97%

Huyo ndio Rais Magufuli, mwana wa Africa
Chadema wangekuwa na busara wangesitisha kampeni. Maana wanapoteza pesa bure. Hizi pesa wanazatotumia wangetumia kujengea ofisi za chama chao
 
Ohoooo! Umesahau mazingzong ya ule uchaguzi wa serikali za mitaa?
 

Akishapigwa chini mtu Oct 28 pana mambo mengi yatapigwa "ajua" ukiwamo uchaguzi wa tawala za mikoa na wale kina kupitwa bila kupingwa wakiwamo pia wale wapara magamba.

Habari ndiyo hiyo bwege lao.
 
Wamegundua wananchi hatuwasikili, ilani yao imejaa ulaghai mtupu, eti ajira mil, 8, zitatoka wapi?
Ajabu hiyo na hizi 13000 za waalimu ambazo ni kiduchu tu ukilinganisha na bachi za walimu zilivyolaliana huku kitaa utashangaa tena unazitoa wakati wa kampeni kama sio rushwa ni nini???mimi nasema tena kuwa kama si tume ya uchaguzi biashara ingeisha mapema asubuhi,jiwe hata kaa asahau pamoja na yote anayodhani ni maendeleo lakini ili watu waje kwenye mkutano sharti wasanii lukuki wawepo hili ni jambo la aibu sana.
 
Wewe sio jinga.anyway jpm alijua amefuta upinzani.kumbe sio.ccm oyee
 
Uchaguzi gani? wa mbeleko za kubebwa na watendaji wa vijiji na mitaa kwa kuogopa kufukuzwa kazi na wateuliwa walio na mamlaka ya kuwafukuza muda wote yani wakurungezi ambao ni makada wa fisiemu muwe mnatoa pumba zenu kweka hapa jukwaani kisa buku 7
 
Hakukuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana kwa sababu ya uhuni uliofanywa wa muwaengua wagombea asilimia yote wa chama cha upinzani.

Yaani sitawapa ccm kura kwa sababu ya walichokifanya kwenye serikali ya mtaa. Mlitunyima uhuru watu kuchagua viongozi wetu.

Last week nilienda kujaza barua ya utambulisjo seriki ya mtaa, akaniuliza jina la Mjumbe wangu nikamwambia simjui maana mlijipitisha wenyewe hatukupiga kura, so aangalie kwenye daftari lake mjumbe wa eneo ninalokaa amjaze, yule dada hadi aliona ainu.

Kama serikali yenu imefanya mambo mazuri sana, mnaogopa nini kuacha wagombea wote washiriki twende kwenye sanduku la kura mtakapokutana na matokeo ya kweli toka kwa wananchi? Kwanini figisufigisu? Mnajua hampiti ndio maana mnajihami kwa figisu
 
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulibakwa kwa nyuma,
 
Wanajua walichokifanya, mioyo ya watu imeinama, wametuondolea uhuru wa kuongea, tukiongea tutapewa kesi.

Sasa tumeamua kukaa kimya, sanduku la kura litatoa majibu, maana kura ni siri Wacha tusufu na kuanudu, kwenye kura tunajua cha kufanya
 
Jibu swali imeishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…