Mimi nahisi ni 100%. Hivi serikali za mitaa kulikuwa na uchaguzi au ni uchavuzi na uporaji wa haki za watanzania?Kwa jinsi utafiti uliofanyikak, Uchaguzi ukifanyika kesho Rais Magufuli atashinda kwa 89%
Na kama Uchaguzi Mkuu utafanyika October atashinda 97%
Huyo ndio Rais Magufuli, mwana wa Africa
Ule ulikuwa ni uchafuziKama kuna kosa ambalo wapinzani watalijutia sana ni kushindwa kupambana na CCM katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ushindi wa Kishindo ilioupata CCM ndio muelekeo rasmi wa Ushindi wa Magufuli,wabunge na Madiwani wa CCM.
Mtaji wa wenyeviti wa Serikali za mitaa na vijiji ni mtaji mkubwa na hazina kubwa ya Ushindi.
Hivi siyo visingizio ndiyo ukweli wenyewe.Kila mwaka na kila uchaguzi lazima muwe na hivyo visingizio
Mbowe huwa haibiwi?Hivi siyo visingizio ndiyo ukweli wenyewe.
John hajauwa watu? Hajateka watu? Hajapiga watu risasi? Hajawapachika kesi za uwongo wafanyabiashara? Hajawanyang'anya fedha matajiri?Mbowe huwa haibiwi?
CHADEMA hawafanyi matamasha ya fiestaChadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki
Chadema magundu
Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo
Wenzetu maccm , hizi fedha za kugharamia hayo yote wamezitoa wapi au ndio fedha za mabeberu?Baada ya kushuhudia ya leo nimeamua kupiga kambi humu humu Chato ambapo kesho kuna burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii takribani 10 wakiongozwa na Harmonize, Juma Nature na Zuchu wakinogesha kampeni za urais za CCM
Awamu hii wasanii zaidi ya 100 wamegawanyika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na Tanganyika kwaajili ya kunogesha kampeni za CCM ambapo kwa jana pekee huko Tanga mgombea ubunge wa Tanga mjini kupitia CCM Ummy Mwalimu alikuwa na wasanii kumi akiwa mgombea ubunge wa kwanza kutia fora kwa lundo la wasanii.
taja matusi at least 2 anayotukana Tundu Lissu.Chadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki
Chadema magundu
Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo
Kupendwa raha sana chadema hadi wasanii wamewakataaUchaguzi huu hatutatumia wasanii kufanya kampeni, tutatumia band yetu ya T.O.T. Hii ni kwasababu ya kupunguza matumizi ya fedha katika kampeni zetu CCM. - katibu Mkuu
Kwasababu chadema mmezoea matusi basi unataka kila mtu atukane. Matusi hayatajwi yanatukanwataja matusi at least 2 anayotukana Tundu Lissu.
Uchaguzi huu hatutatumia wasanii kufanya kampeni, tutatumia band yetu ya T.O.T. Hii ni kwasababu ya kupunguza matumizi ya fedha katika kampeni zetu CCM. - katibu Mkuu
Mkeo anajua kama unachamba mtandaoniChadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki
Chadema magundu
Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo