Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kujaza uwanja si kuchaguliwa.
Vipi wapenzi wa muziki watapata burudani? Maana hiyo ndo inawapeleka watu na si kwamba mgombea anapendwa wala sera za mgombea.
Kila mtu tanzania hii anamkubali Magu, kama humpend huna alili nzuri
 
uchaguzi wa mwaka huu ni mwepesi sana
Tunatakiwa kuchagua kati vitu na maneno matupu
Huyo mgombea wako bila ya barabara angefikaje huko kigoma leo?
 
.
Alipiga chini lowasa na nguvu zake zote itakuwa huyu mfia mabeberu
Dar alimshinda Lowassa? Wakati mlipigwa kuanzia diwani hadi Urais sasa kujaza jangwani kuliwasaidia nini?

Naomba ujibu hili swali
 
Sasa hizo ni fikra zenu mfu!. Yaani mnataka kuaaminish kila mtu nchi hii anaichukia CCM! Nyumbu ban!
Yes 70% ya waTz wameichoka CCM na ndio maana mnatembelea jina la Magufuli ili mponee hapo mnaogopa kutaja chama.

Maana kila mtu anafahamu mmefeli kila kitu kwa miaka 60 sasa. Hvi umaskini uliopo unaakisi rasilimali tulizonazo? Kwanini mtu achague CCM na zaidi ya 60% ya vijana hawana ajira kabisa?
 
Umefafanua vizuri sana chief
 
Ni utawala wa chama gani uliochelewesha kigoma?
Wale viongozi ambao kila wakati ambao Bunge lilikuwa likianza upitishaji wa bajeti, wao walikuwa wanatoka nje.Hao ndo wameichelewesha Kigoma kea muda mrefu Sana.
 
Mimi nimekuelewa Sana mkuu,kumbe hata wale wanaoenda kwenye mikutano ya CHADEMA, wengi wanaenda kumshangaa kwa macho mtu iliepigwa risasi🤔? Na sio kwamba eti wanampenda au Ni wafuasi wakweli wa Chadema.👏👏
 
Angalau umekiri kwa uwazi kuwa mikutano ya TL inavuta watu. Mmelaaniwa nyote mnaotafuta kutoa uhai wa wenzenu. Kama Mungu alivyomlaani Cain na kizazi chake kwa kumuua ndugu yake Abel. Na mwisho wa dunia, nuru itaishinda giza. Umechagua wauaji, umechagua kushindwa siku Mungu akiifikisha mwisho dunia hii.
Mimi nimekuelewa Sana mkuu,kumbe hata wale wanaoenda kwenye mikutano ya CHADEMA, wengi wanaenda kumshangaa kwa macho mtu iliepigwa risasi🤔? Na sio kwamba eti wanampenda au Ni wafuasi wakweli wa Chadema.👏👏
 
Bila shaka tungeiona hali halisi ya CCM. Wasanii wapo kwa maslahi yao. Wananchi wanapata tshet bure japo walisema hawatagawa tsheti wala kutumia wasanii.

Unawezaje kulinganisha 'nyomi' ya kusomba na 'nyomi' ya kujipeleka kwa nauli binafsi.

MWILI 'CCM' ROHO 'CHADEMA'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…