Yahya Jameih alimiliki Hadi tume lakini wananchi walipoamua alipigwa na tume yake.Wanaochagua hawana nguvu kama wanaotangaza matokeo.Tanzania kiongozi hachaguliwi,anatangazwa
Umepewa laki moja uje mtandaoni kuongea upuuzi ...mnapopewa hela wawape na hoja za kuja kubishana mtandaoni
Kama hana hizo kura kinachofanya mnapiga Fiesta ni nini?Lisu hana kura za kufanya tume ipindishe matokeo.
Kwanza kashaenda kwa Seif zanzibar kuchukua mbinu za ccm za ushindi?
Wewe ni mtoto mdogo sana kwenye haya mambo mkuuKama hana hizo kura kinachofanya mnapiga Fiesta ni nini?
Sio kila debe nila unga.. nyie fanyeni yote lkn sanduku la kura msiliguse kabisa.Wanaochagua hawana nguvu kama wanaotangaza matokeo.Tanzania kiongozi hachaguliwi,anatangazwa
Lisu hana kura za kuibiwa.Yahya Jameih alimiliki Hadi tume lakini wananchi walipoamua alipigwa na tume yake.
Chance ya kuiba this time haipo uzuri bingwa wa wizi amepumzika kijijini kwake lupaso ccm this time bye bye.
Mzee wa lupaso baada ya kukwapua nyumba za serikali ikiwemo kuwagawia hadi mahawara zao akaamua kumuweka mwizi mwenzake ili amlinde kwa kutuletea dereva kanjanja mwenye leseni feki abiria tumegoma turudishiwe nauli.Maisha magumu!mzunguko wa fedha wamekaba !!!Bei zimepanda sana!!HAKIKA VETING YA JIWE NI JANGA KUBWA KWENYE HISTORIA YA NCHI YETU??!
Shida yako unataka uwe unaona coment zinazokupa matumaini kwamba Lisu anashinda basi.Umeanza kuuchafua uzi mapema hivi,ungesubiri ukoment baadae ili comment yako iwe ya mwisho huko ili wasoma comment wasiifikie
Sasa mbona mnatumia tume irudie aliyosema Pole poleLisu hana kura za kuibiwa.
Lisu ni debe tupu
Mlivyoagizwa nyie hapo ufipa mnafikiri kila mtu anaagizwa?Umepewa laki moja uje mtandaoni kuongea upuuzi ...mnapopewa hela wawape na hoja za kuja kubishana mtandaoni
Unajua kazi ya tume?Sasa mbona mnatumia tume irudie aliyosema Pole pole
Wataozea jela this time watamsindikiza jiwe the Hague.Lisu sio Lowasa wa kumuachia Mungu.Sio kila debe nila unga.. nyie fanyeni yote lkn sanduku la kura msiliguse kabisa.
Dodoma itakuwa dampo aisee
Unawaonea wivu hao mahawara waliogawiwa nyumba?Mzee wa lupaso baada ya kukwapua nyumba za serikali ikiwemo kuwagawia hadi mahawara zao akaamua kumuweka mwizi mwenzake ili amlinde kwa kutuletea dereva kanjanja mwenye leseni feki abiria tumegoma turudishiwe nauli.
Tanzania kuna kushinda na kushindishwaField ipi?
Field ya kwenye account twiter ya kigogo?
Lisu ni debe tupu.
Baada ya oktoba mtajua udebe tupu wa Lisu.
Kiufupi Lisu ndio mgombea atakae tia aibu kwa kupata kura chache kuliko wagombea wote waliowahi kugombea chadema.
Whaaaaat!Shida yako unataka uwe unaona coment zinazokupa matumaini kwamba Lisu anashinda basi.
Ukitaka hizo nenda kwenye magroup yenu ya bavicha
Mtoto mwenye kadi ya mpiga kura sio... endelea kutabiri umri wa watu tu weweWewe ni mtoto mdogo sana kwenye haya mambo mkuu