Mkuu uko serious hujui nani anajiita Jiwe? By the way make sure you use singular yaani zungumzia wewe na nafsi yako na kama ukishindwa ongeza familia yako au MATAGA basi, Watanzania wamemwelewa Mh Lissu.Ndio nani huyo sisi Rais wetu ni Dr. John P. Magufuli na hilo halina ubishi.
Tukutane kwenye kiapo mara baada ya October 28.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mkuu zungumzia nafsi yako na kama ukishindwa ongezea familia yako au waumini wenzako wa ndoto za abunuasi.Mkuu uko serious hujui nani anajiita Jiwe? By the way make sure you use singular yaani zungumzia wewe na nafsi yako na kama ukishindwa ongeza familia yako au MATAGA basi, Watanzania wamemwelewa Mh Lissu.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
Ningemsikiliza mpaka mwisho pengine ningeishia kumchukia kabisaUsimhukumu bila kumsikiliza mpaka mwisho.
Mzee kaishiwa kabisa ni mweupe pee. Sijui hata alifikaje uwaziri.Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
Washauri akina Wilson Mahera 😄😄Ili uweze kujua tatizo kubwa liko wapi na kwanini yuko hivyo anza Kwanza Kuulizia / Kuwaulizia Washauri wake Wakuu ni akina nani hutoshangaa.
Anajaribu kujiweka karibu na Raia wanamchora tu.Nimesikia mzee baba akiomba wagogo wampe binti.Ni mambo ya ajabu na ya aibu!
Seriously [emoji44]Nimesikia mzee baba akiomba wagogo wampe binti.Ni mambo ya ajabu na ya aibu!
Ili uweze kujua tatizo kubwa liko wapi na kwanini yuko hivyo anza Kwanza Kuulizia / Kuwaulizia Washauri wake Wakuu ni akina nani hutoshangaa.
🤣 🤣 🤣 uko sahihi kabisa. Tunaweza kupata andiko lake?Yule ni maomi wa PHD kumuelewa lazima utumie akili ndogo tu.