Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ukienda kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea uraisi kupitia CCM jiandae vizuri maana ukishaingia uwanjani huruhusiwi kutoka nje hadi mkutano utakapoisha. Jana hapa Samora Iringa kuna watu wengi walishinda njaa baada ya kutoruhusiwa kutoka nje ya uwanja. watu walisimama kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 11 jioni.
Duh,huruhusiwi kuondoka?[emoji29][emoji29][emoji29]
 
Kamanda usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na CCM na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima tena wakiwa kabisa kwenye uniform zao za shule.
 
Kama usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima
Weka picha kamanda ya watoto wamepanda malori.
 
Weka picha kamanda ya watoto wamepanda malori.
Kamanda usiechoka kutoka CCM haya mambo ni aibu tupu,kumbe siku hizi hawa watoto wadogo wa shule wanalazimishwa mpaka kuvaa sare za chama!
EjBsQj3X0AM8iJi.jpg
 
Kamanda usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na CCM na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima tena wakiwa kabisa kwenye uniform zao za shule.
😂😂😂😂 Chadema bwana,Yani watoto wakiwa kwenye kampeni za CCM,inakuwa story inayotolewa kwa mtazamo hasi,Ila wakiwa kwenye kampeni za mgombea wenu,mnawapamba kwa kadri muwezavyo.😂😂😂.
 
Kumbe hawa hawaendi kumshangaa Magufuli ila wakifurika kwa Lissu wanaenda kumshangaa?

Mikoa na majiji ambayo Lissu atashinda ni Dar, Zanzibar,Arusha,Mwanza,Mbeya,

Mikoa Mtwara, Iringa,Kagera, Kilimanjaro, Manyara, singida, Kigoma, Mara,Songwe.

Mikoa ambayo watagawana kura Dodoma, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Ruvuma.

Mikoa ambayo yeye atashinda Geita, Simiyu, Katavi Rukwa Lindi na Tabora

Sasa mtu Kama huyu ana chake kweli?

Kila mtu ashinde mechi zake yaani Jiwe ni nyumbani mapema Sana October.
Mkuu Mwanza iondoe kabisa hapo.Hivi bado hamjifunzi tu jamani😂? 2015 mlisema mwanza mtapata kura, mlichukua majimbo mangapi? Sijui hizi takwimu huwa mnatoa wapi? Ile miradi inayoendelea kwasasa kule Mwanza inamhitaji sana alieianzisha ili isijekutelekezwa na huyu anaedai kuwa hiyo miradi sio kipaumbele chake.Endeleeni kufarihiana tu hapa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chadema bwana,Yani watoto wakiwa kwenye kampeni za CCM,inakuwa story inayotolewa kwa mtazamo hasi,Ila wakiwa kwenye kampeni za mgombea wenu,mnawapamba kwa kadri muwezavyo.[emoji23][emoji23][emoji23].
Haujaelewa!Sisi tunalaani kitendo cha CCM kukatiza watoto masomo tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa
 
Tatizo hawa watu huwezi kuamini kama wameenda kwa sababu wanamwunga mkono mgombea au kwa sababu wanelazimishwa. Kila anakopita Magufuli, wafanyakazi na wanafunzi wanalazimishwa kujipanga njiani. Wanalazimishwa kwenda kuongeza vichwa kama alivyosema Mama yetu wa Taifa, Maria Nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Nhiiiiiiiiiiii nimecheka kimagufuli kabisa.Yani hao watu wote Ni wanafunzi na wafanyakazi,tena sehemu yenyewe ni Kaliua🤔, mmh aiseeh watu mnajua kujipa faraja kwakweli
 
Hujui Ccm huwa wana machipukizi? Haya ndio baadae huwa viongozi. Sisi Chadema tunakwama sana.
Kamanda usiechoka kutoka CCM ni sheria ipi inasema kuwa watoto wakatizwe masomo yao tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa kwenye kampeni?Kamanda usiyechoka kutoka CCM huu siyo unyanyasaji wa watoto wetu?
 
Haya haya walimu waliosoma ngazi Ya cheti serikali haiwatambui mnaakiwa mkasome tena na Kama hamtaki mtafukuzwa
 
Kamanda usiechoka kutoka CCM ni sheria ipi inasema kuwa watoto wakatizwe masomo yao tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa kwenye kampeni?Kamanda usiyechoka kutoka CCM huu siyo unyanyasaji wa watoto wetu?
Hilo la kukatiza watoto sina uhakika nalo,lakini mimi kusema kweli usinibeze kuwa ni mwanaCcm.
Eh-G0JeWAAAgKLS.jpg
 
Hilo la kukatiza watoto sina uhakika nalo,lakini mimi kusema kweli usinibeze kuwa ni mwanaCcm.View attachment 1584460
Kamanda usiechoka kutoka CCM huyo dogo hapo hajalazimishwa kwenda kwenye kampeni na ameenda baada ya masomo yake,muone hapo anavyofurahia chadema.Kamanda usiechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia watoto wa shule wanaokatizwa masomo yao kuanzia asubuhi hadi jioni na kulazimishwa kwenda kwenye kampeni za CCM kuongeza vichwa
 
[SUB]Kazi kweli kweli, wagombea wetu waongo sana. Kwahiyo Corona imegeuka kua mtaji wa wanasiasa?[/SUB]
Kama jinsi ambavyo mlijaribu kuifanya mtaji wa kisiasa wakati ule Mgufuli na serikali yake anaishughulikia,ndivyo jinsi ambavyo yeye ameamua kuitumia kisiasa baada ya ushindi kupatikana.Kwahiyo tulieni Sindano isije katikia kwenye tako.
 
Back
Top Bottom