Duh,huruhusiwi kuondoka?[emoji29][emoji29][emoji29]Ukienda kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea uraisi kupitia CCM jiandae vizuri maana ukishaingia uwanjani huruhusiwi kutoka nje hadi mkutano utakapoisha. Jana hapa Samora Iringa kuna watu wengi walishinda njaa baada ya kutoruhusiwa kutoka nje ya uwanja. watu walisimama kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 11 jioni.
Kamanda usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na CCM na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima tena wakiwa kabisa kwenye uniform zao za shule.Watoto ni taifa la keshoView attachment 1584409
Weka picha kamanda ya watoto wamepanda malori.Kama usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima
Kamanda usiechoka kutoka CCM haya mambo ni aibu tupu,kumbe siku hizi hawa watoto wadogo wa shule wanalazimishwa mpaka kuvaa sare za chama!Weka picha kamanda ya watoto wamepanda malori.
ππππ Chadema bwana,Yani watoto wakiwa kwenye kampeni za CCM,inakuwa story inayotolewa kwa mtazamo hasi,Ila wakiwa kwenye kampeni za mgombea wenu,mnawapamba kwa kadri muwezavyo.πππ.Kamanda usiechoka kutoka CCM hawa siyo watoto wa shule na wameenda hapo kwenye kampeni kwa hiara yao wenyewe ndiyo maana unaona wana furahaa.Kamanda usiyechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia wale watoto wa shule ambao hukatizwa masomo yao na CCM na kusumbwa kwa malori,matractor pamoja na fuso na kupelekwa kwenye kampeni kwa lazima tena wakiwa kabisa kwenye uniform zao za shule.
Kwa nini CCM msitayarishe watu wa kumzomea Lissu iwe kama Magfuli alivyodhalilishwa?
Umemjibu vizuri sana π, wacha wao waendelee kuandaa wazomeaji.CCM hutayarisha wapiga kura sio wazomeaji
Hujui Ccm huwa wana machipukizi? Haya ndio baadae huwa viongozi. Sisi Chadema tunakwama sana.Kamanda usiechoka kutoka CCM ni aibu tupu,kumbe siku hizi hawa watoto wadogo wa shule wanalazimishwa mpaka kuvaa sare za chama!View attachment 1584439
Hivi hizi ndo wanaziita kampeni kampeni za kisayansi[emoji16][emoji16]Kamanda usiechoka kutoka CCM ni aibu tupu,kumbe siku hizi hawa watoto wadogo wa shule wanalazimishwa mpaka kuvaa sare za chama!View attachment 1584439
Mkuu Mwanza iondoe kabisa hapo.Hivi bado hamjifunzi tu jamaniπ? 2015 mlisema mwanza mtapata kura, mlichukua majimbo mangapi? Sijui hizi takwimu huwa mnatoa wapi? Ile miradi inayoendelea kwasasa kule Mwanza inamhitaji sana alieianzisha ili isijekutelekezwa na huyu anaedai kuwa hiyo miradi sio kipaumbele chake.Endeleeni kufarihiana tu hapa.Kumbe hawa hawaendi kumshangaa Magufuli ila wakifurika kwa Lissu wanaenda kumshangaa?
Mikoa na majiji ambayo Lissu atashinda ni Dar, Zanzibar,Arusha,Mwanza,Mbeya,
Mikoa Mtwara, Iringa,Kagera, Kilimanjaro, Manyara, singida, Kigoma, Mara,Songwe.
Mikoa ambayo watagawana kura Dodoma, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Ruvuma.
Mikoa ambayo yeye atashinda Geita, Simiyu, Katavi Rukwa Lindi na Tabora
Sasa mtu Kama huyu ana chake kweli?
Kila mtu ashinde mechi zake yaani Jiwe ni nyumbani mapema Sana October.
Haujaelewa!Sisi tunalaani kitendo cha CCM kukatiza watoto masomo tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chadema bwana,Yani watoto wakiwa kwenye kampeni za CCM,inakuwa story inayotolewa kwa mtazamo hasi,Ila wakiwa kwenye kampeni za mgombea wenu,mnawapamba kwa kadri muwezavyo.[emoji23][emoji23][emoji23].
πππ Nhiiiiiiiiiiii nimecheka kimagufuli kabisa.Yani hao watu wote Ni wanafunzi na wafanyakazi,tena sehemu yenyewe ni Kaliuaπ€, mmh aiseeh watu mnajua kujipa faraja kwakweliTatizo hawa watu huwezi kuamini kama wameenda kwa sababu wanamwunga mkono mgombea au kwa sababu wanelazimishwa. Kila anakopita Magufuli, wafanyakazi na wanafunzi wanalazimishwa kujipanga njiani. Wanalazimishwa kwenda kuongeza vichwa kama alivyosema Mama yetu wa Taifa, Maria Nyerere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda usiechoka kutoka CCM ni sheria ipi inasema kuwa watoto wakatizwe masomo yao tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa kwenye kampeni?Kamanda usiyechoka kutoka CCM huu siyo unyanyasaji wa watoto wetu?Hujui Ccm huwa wana machipukizi? Haya ndio baadae huwa viongozi. Sisi Chadema tunakwama sana.
Hata wale wanaofurika kumsubiri barabarani nao wanasubiri wasanii kumbeπ€?Wasanii kivutio cha watu.
Nani ana akili timamu aje kumsikiliza jiwe?
Hamkosi visingizio πLisu atazoa kura nyingi dar mikutano iliyofanyika kulikuwa na muingiliano na sherehe za Simba na yanga
Hilo la kukatiza watoto sina uhakika nalo,lakini mimi kusema kweli usinibeze kuwa ni mwanaCcm.Kamanda usiechoka kutoka CCM ni sheria ipi inasema kuwa watoto wakatizwe masomo yao tena kuanzia asubuhi hadi jioni kisa wakaongeze vichwa kwenye kampeni?Kamanda usiyechoka kutoka CCM huu siyo unyanyasaji wa watoto wetu?
Kwa huo π mwandiko,Basi wewe ni punguani muongoza njia.Achaneni na CCM Ni chama cha wajnga na pguani
πππππ Aiseeh, ogopa sana technology.Hilo la kukatiza watoto sina uhakika nalo,lakini mimi kusema kweli usinibeze kuwa ni mwanaCcm.View attachment 1584460
Kamanda usiechoka kutoka CCM huyo dogo hapo hajalazimishwa kwenda kwenye kampeni na ameenda baada ya masomo yake,muone hapo anavyofurahia chadema.Kamanda usiechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia watoto wa shule wanaokatizwa masomo yao kuanzia asubuhi hadi jioni na kulazimishwa kwenda kwenye kampeni za CCM kuongeza vichwaHilo la kukatiza watoto sina uhakika nalo,lakini mimi kusema kweli usinibeze kuwa ni mwanaCcm.View attachment 1584460
Kama jinsi ambavyo mlijaribu kuifanya mtaji wa kisiasa wakati ule Mgufuli na serikali yake anaishughulikia,ndivyo jinsi ambavyo yeye ameamua kuitumia kisiasa baada ya ushindi kupatikana.Kwahiyo tulieni Sindano isije katikia kwenye tako.[SUB]Kazi kweli kweli, wagombea wetu waongo sana. Kwahiyo Corona imegeuka kua mtaji wa wanasiasa?[/SUB]