Kwenye picha umewezaje kujua kama dogo katoka shule? 😂😂😂Kamanda usiechoka kutoka CCM huyo dogo hapo hajalazimishwa kwenda kwenye kampeni na ameenda baada ya masomo yake,muone hapo anavyofurahia chadema.Kamanda usiechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia watoto wa shule wanaokatizwa masomo yao kuanzia asubuhi hadi jioni na kulazimishwa kwenda kwenye kampeni za CCM kuongeza vichwa
Shabiby acharuka atua na helikopta kumwombea kura DK Magufuli
CCM HOYEE hadi kieleweke
Sasa kura ndio anamuombea kwa hao watoto?Shabiby acharuka atua na helikopta kumwombea kura DK Magufuli
CCM HOYEE hadi kieleweke
🤣 🤣 🤣 👏 👏 👏 👏Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Sasa mnashiriki uchaguzi katika tume isiyo huru! Mnaakili kweli!Magufuli hategemei kura kuwa rais, bali anategemea tume isiyo huru ya uchaguzi na vyombo vya dola kutangazwa mshindi.
Kesho anaingia kwa mbwembwe.Magufuli kama ingekuwa ni uwezo wake Mbeya asingekanyaga kabisa, sema basi tu atafanyaje, 2015 alizomewa pale hana hamu.
Sasa mnashiriki uchaguzi katika tume isiyo huru! Mnaakili kweli!
KUKU wa kijani huwezi kuwa CDM.Nimeona mapokezi yake, inatubidi chadema tufanye namna ili kuokoa jahazi mbeya.
Kuanzia Igawa Hadi Igurusi naamini Magufuli atazomewa Sana.Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Magufuli ni sawa na nyuki wa mashineni! hana madhara kwa Chadema!!Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya