Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kamanda usiechoka kutoka CCM huyo dogo hapo hajalazimishwa kwenda kwenye kampeni na ameenda baada ya masomo yake,muone hapo anavyofurahia chadema.Kamanda usiechoka kutoka CCM hapa tunazungumzia watoto wa shule wanaokatizwa masomo yao kuanzia asubuhi hadi jioni na kulazimishwa kwenda kwenye kampeni za CCM kuongeza vichwa
Kwenye picha umewezaje kujua kama dogo katoka shule? 😂😂😂
 
Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Kuanzia Igawa Hadi Igurusi naamini Magufuli atazomewa Sana.

Home boy hapo sae na mama John msiniangushe!

Oyaaaa Wana wa doksi kabwe na nzovwe fanyeni huyo mzee aondoke na simanzi hapo Mbeya.
 
Back
Top Bottom