Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Huna uhakika na idadi kamili ya wanachama wa ccm. Watanzania wote ni wanachama wa ccm na katika hao ni 29m tu ndio wamejiandikisha kupiga kura.

Vyama vingine wanachama wao ni raia wa nchi jirani.

Hivyo kwa hesabu hiyo ccm inaenda kushinda kwa asilimia 100% hasa ukizingatia Rais Magufuli anapendwa sana na watanzania.

Ukitaka kujua hilo angalia watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni za vyama pinzani ni watu wachache sana ambao ni wageni kutoka nchi jirani wanaokuwa wamekuja kwa shughuli za kibiashara au matembezi tu.

Ndio maana mikutano yao inadoda huwezi kukuta wahudhuriaji wanazidi 50.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Bagbo wa Ivory Coast naye alitangazwa na NEC na CCM ya Ivory Coast, sasa ananyea debe
Wewe hata huelewi nini kilitokea Ivory Coast miaka hiyo

Ni hivi: electoral commission (NEC yao) ilimtangaza kwanza opposition candidate Alassane Ouattara kama mshindi wa urais. Then President Gbagbo akakataa na kukata rufaa. Read that again. Kule walikuwa wanaruhusu matokeo kuwa challenged mahakamani.

Japokuwa Constitutional Council ilioverturn earlier poll results na kumdeclare Laurent Gbagbo kama mshindi, Outtara alikomaa kinomaa na jeshi likamsupport kiaina.

Hapa bongo Dr. Mahera hatofanya kosa kumtangaza Lissu, afterall Katiba imemcover tayari. Huu ni ukweli mchungu.
 
Chadema watapigiwa kura na kutangazwa na Robert Amsterdam
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe ngoja tu! Don’t panick
 

Kwa nyongeza, CCM itavuna kura zaidi ya 90% katika ngazi zote (Urais, Ubunge na Udiwani) kwa sababu kuu zifuatazo:
√ Mgombea Urais kupitia CHADEMA anavvyoendelea kumdharilisha Mgombea Urais kupitia CCM, ndivyo chuki za wanaCCM dhidi yake zinavyoongezeka. Matokeo yake ni hasi kwa wagombea wote wa upinzani (Kura 17m ~ 58.62%);
√ Lugha anayotumia Mgombea Urais kupitia CHADEMA, kwenye kampeni ya kudharau mamlaka zilizopo Kikaytiba, inamnyima kura za kundi lisilo na vyama la watu wenye busara na hekima (3m ~ 10.33%);
√ ACT Wazalendo kumtosa mgombea wa Urais, ni usaliti. Kura za wafuasi wake na wapiga kura watakaoguswa, zitaelekezwa kwa CCM, alikokuwa awali (5m ~ 17.24);
√ Nguvu ya CCM kisiasa, kupitia Jumuiya zake (Wazazi, UWT, Vijana) ambazo wajumbe wake wanafanya kampeni nyumba kwa nyumba wakielezea mafanikio ya Serikali na ahadi mpya za chama (0.5m ~ 1.77%);
√ Isitoshe Watendaji wakuu wa Serikali (Makamu wa Rais na Waziri Mkuu) wanaendelea na kampeni wakijibu shutuma na hadaa za wagombea wa vyama vya upinzani kuhusu maendeleo huku wakitoa ahadi za kuaminika kutokana na rekodi nzuri ya Serikali kwa miaka 5 (1.5m ~ 5.77%)

Hii inatupa jumla ya 93.73% kama wote waliojiandikisha watajitokeza na kupiga kura. Hesabu hii inafuta kabisa madai ya upinzani, hasa CHADEMA, kuwa wataibiwa kura na kwamba vyombo vya Dola ni CCM.

Nami "NALITAKIA TAIFA UCHAGUZI MWEMA"
 
Watu tuko ccm ili tusiibiwe asset zetu , mfano mimi mama yangu ni Mwenyekiti wa UWC Bukoba lakini anapigiaga kura upinzani , the same na mimi Niko ccm na kadi ya ccm lakini nachaguaga cdm kila uchaguzi.
 
Having muujiza zaidi ya hapa ilipotufikisha hadi Korea imetuacha mbali sana
 
Sema umeichoka ww sio watu
 
Ccm bila system sio chochote si lolote ukitaka kushika nchi lazma ucheze na system sio watu hawa wanatumika kusupport tu yaliyopangwa na kuamuliwa n system hvo chadema kuchukua nchi bado sna ni mawazo tu ila wenye akili wamenielewa na wenye Elimu wameelewa
 
Umesahau watumishi wote tumeitwa takataka tunahasira sana na huyu jamaa
 
Watu tuko ccm ili tusiibiwe asset zetu , mfano mimi mama yangu ni Mwenyekiti wa UWC Bukoba lakini anapigiaga kura upinzani , the same na mimi Niko ccm na kadi ya ccm lakini nachaguaga cdm kila uchaguzi.
Ccm haijawahi kuwa na wanachama kama ww, sema tu ukwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…