Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Magufuli atashinda kwa kishindo kikubwa sana, huyo anaetumiwa na mabeberu hatumtaki anateka auze nchi
 
1601838064950.png
 
Magufuli amekigharimu na atakigharimu Sana chama kwenye uchaguzi watu hawana nongwa Sana na CCM Ila Magufuli ndio watu hawampendi kutokana na hulka yake na tabia yake.
 
Kazi kubwa aliyofanya kwa miaka minne na ushehe.
Ujenzi wa miundombinu ya barabara
SGR
ununuzi wa ndege
elimu bure
ujenzi wa vituo vya afya
kuwashughulikia mafisadi
ujenzi wa meli mpya
treni kuabza kazi baada ya miaka 30
Tembo kuongezeka
uboreshaji wa mapato
kupunguza vifo vya albino na vikongwe
ajali za mabasi kupungua
ununuzi wa ndege
TTCL kurejea
pato la madini kukua na udhibiti wa rasilimali
Kupambana na covid 19
kuondoa kero kwa wamachinga
kuondia kero ya bodi ya mikopo vyuo vikuu
elimu bure
n.k
Wewe siku hizi umehamia kwenye upumbavu na ndege zenu hizo
 
WIZI lakini tukilinda kura zetu hadi matokeo yatangazwe na kugoma mawakala wetu kuondolewa kwa hujuma Nchi nzima basi kichaa is out.

Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.

Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.

Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.

Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwakila kituo na watakuwa monitored.

Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.

Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama

Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.

Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.

Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki

Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.

Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?

Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
 
Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.

Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.

Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.

Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwa kila kituo na watakuwa monitored.

Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.

Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama

Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.

Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.

Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki

Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.

Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?

Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
Staili ile ile kama ya serikali za mitaa ataiboresha kidogo.
 
Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.

Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.

Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.

Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwa kila kituo na watakuwa monitored.

Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.

Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama

Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.

Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.

Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki

Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.

Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?

Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
Tumeshamuandalia ile dreamliner kumrudisha chato na familia yake hapo November
 
Tarehe 28/10/2020 twendeni na Hashimu Rungwe. Sera yetu ni ubwabwa kwa wote
 
Wanabodi, najaribu kufuatilia yanayoendelea ccm, ukifuatilia na kutafakari utagundua kua kinachofanywa na ccm kwa mgombea uraisi majukwaani syo kampeni bali ni matamasha ya music na nyimbo za mapambio.

Nasema hivi kwa kua ukiangalia watu wanaanza kuondoka mara mziki na mapambio vinapomalizika,
Najiuliza.

1.Hivi wanamuziki wasingeshiriki, je mikutano ingekua na mvuto?
2.Je, ccm isingekua ndo serikali wangeweza kusomba watu toka maeneo tofauti kuja mkutanoni wakiwemo walimu na wanafunzi wao?
 
wanabodi, najaribu kufuatilia yanayoendelea ccm, ukifuatilia na kutafakari utagundua kua kinachofanywa na ccm kwa mgombea uraisi majukwaani syo kampeni bali ni matamasha ya music na nyimbo za mapambio.
Nasema hivi kwa kua ukiangalia watu wanaanza kuondoka mara mziki na mapambio vinapomalizika,
Najiuliza.
1.Hivi wanamuziki wasingeshiriki, je mikutano ingekua na mvuto?
2.Je, ccm isingekua ndo serikali wangeweza kusomba watu toka maeneo tofauti kuja mkutanoni wakiwemo walimu na wanafunzi wao?
Tanazania na watanzania vumemkataa Magufuli. Hata yeye anajua hilo.
 
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.

Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.

UPDATE:-

 
Back
Top Bottom