Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.

Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
 
Vipi kama hatutamchagua, utatufanya nini? HATUMTAKI. Mchague mwenyewe.
 
Wewe ukiacha wengine watamchagua. Muhimu kura zitimie na kujaa by 80%

Hata hao wengine nao wana akili timamu kama mimi, hivyo hawatajisumbua kuchagua dikteta. Watachagua mabadiliko bila shaka yoyote ile.

Ni kupitia tu Necccm na Policcm ndiyo hiyo 80% itapatikana. Ila siyo kwa kupitia sanduku halali la kura.
 
Kakwambia nani kuwa wakandarasi wanaishiwaga miradi?

SGR ikifika Rwanda, anahamia bomba la gesi Mtwara hadi Uganda, halafu maji toka Ziwa Victoria hadi Dodoma nakadhalika nakadhali nakadhalika
 
Magufuli sio 'contractor' wa miradi na wala sio 'consultant', na pesa ya kumalizia miradi ni kodi zetu! ... SEMA JINGINE!
😅
👊 ✌✌✌💥
 
20201005_070213.jpg


Wakulima wa Tanzania wanasema Magufuli amewafanyia makubwa

Wanasema kura zote wanazipeleka kwa Rais Magufuli
 
Inamaama hao wakulima wameona manufaa ya reli tayari?Mbona hata haijakamilika?
[emoji16][emoji16],hao watakuwa wakulima wa Lumumba wa nyuma ya keyboard!
Kuna wengine walipongeza kwa kuletewa Reli ya kiwango cha Lami.
 
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.

Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.

UPDATE:-

 
Back
Top Bottom