Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Vp itaingia road.....Mim kura kwa Lissu sikati tamaa mpaka kitakapo elewekaga
Ndio
Umenena vyema sana mkuu! Lakini ngoja Malalamiko FC waje!!Habarini za Leo Wadau !!
Kwanza niombe *Jazba ziwekwe pembeni , Akili zifanye Kazi na Tushindane kwa Hoja siyo Vioja !!!!*
Binafsi niwakumbushe Wapenda SIASA Kuwa SIASA ni *Hesabu* !!! Kama Haujuwi Hesabu huu mchezo utakuua na Pressure.
Kwenye Kila Uchaguzi Kuna Wapiga Kura wa aina 3.
*1. WAPIGA KURA wa Chama Chako* ( Hawa kwa lugha nyepesi tunawaita wafia Chama ) Hawa huwa wanapiga Kura kwa kuangalia Ubora wa mgombea wao, Mvuto wake, imani yao kwake na mwisho ni MAPENZI yao ya dhati kwa chama Chao. Mara nyingi inyeshe mvua liwake jua hawa huwezi kuwapindua utachoka wewe tu !!
*2. WAPIGA Kura wa Chama PINZANI.* Hawa ni wafia Chama wa Itikadi yao. Wengi ni wapinzani wakutoka TUMBONI mwa mama zao au walikuwa wanufaika wa mfumo flani kwa hiyo huongezeka kulingana na namna Maslahi yao yalivyokwama. Hawa hata uwaletee *PEPO MAJUMBANI* kwao hawawezi kukukubali.
*3. WAPIGA Kura wasiyo na Vyama ( Un decided Voters )*
Hawa hawana Vyama, hawa ni Bendera fuata upepo na ndiyo Kundi linalochanganya saana. Kwa Kuwa kila Mkutano wa Mgombea wao huudhuria kwa Raha zao. Na ni kundi Muhimu sana linalofanya maamuzi kulingana na kushawishika na Sera, kuvutiwa na mgombea na mabadiliko ya dhati waliyoyashuhudia.
*TAKWIMU ZINASEMAJE SASA !!!!!*
Wapiga KURA wa Uchaguzi wa Mwaka huu 2020 inakadiriwa Kuwa wapo *Milioni 29.*
Hilo ndiyo *Kombe lenyewe la kugombaniwa ( Wapiga KURA )*
Kati yao *CCM pekee ina wanachama Hai MILIONI 17* achana na Wakereketwa na *WAFURUKUTWA* ambao idadi yao inaongezeka kila Siku.
Sasa hili ni Kundi la Kwanza Tu !!! Hawa Ni wafia CHAMA. watukane utakavyo watakufa na Chama chao.
Wanachama hawa wa CCM MWAKA HUU wakikipigia KURA pekee Chama chao bila ongezeka la KURA moja ya Upinzani *CCM na Magufuli watakuwa wameshinda kwa 58.62%*
Kwa hiyo *MAGUFULI , CCM* na *mtandao* wake mkubwa ambao upo kila Kitongoji na KIJIJI wanapambana Kuongeza Kura tu kutoka KUNDI la Watu wasiyo na VYAMA *( Undecided Voters)* ili kutunisha MFUKO wao wa USHINDI kupandisha asilimia (%) Tu !!!
Jambo ambalo linaendelea kuipa NAFASI KUBWA CCM Kushinda kwa KISHINDO. Hayo magoti ya *UNYENYEKEVU yanayopigwa na Mgombea wa CCM na Wagombea wengine wa CCM wa Ngazi mbalimbali Nchi nzima matokeo yake yataonekana kwenye SANDUKU la KURA muda mchache Ujao TAREHE 28/10/2020.*
Wapiga KURA wanahitaji *Maendeleo, Heshima, Kuthaminiwa , AMANI na Utulivu.*
Hayo yote CCM ndani ya Miaka 5 imeyafanya kwa Kiwango KIKUBWA ZAIDI !!!!
Narudia tena kusema, SIASA ya MAENDELEO *( Political Development)* na Siasa ya HARAKATI *(Political Movement)* kwenye SANDUKU la KURA, SIASA ya Maendeleo ndiyo inalipa zaidi.
" NALITAKIA TAIFA UCHAGUZI MWEMA "
Haya tuambie wewe waliojiandikisha ni wangapi kama unakataa takwimu za NEC?Sema haya ni matamanio yako na sio uchambuzi. Ccm kama ina wanachama wa kweli basi hawazidi milioni tatu nchi hii. Nchi hii ina wananchi 59m+, hakuna uwezekano nusu yake yaani 29m+ wawe wamejiandikisha kupiga kura. Idadi hii ya wapiga kura ni ya kupika, kama tume imeweza kupika idadi ya wapiga kura, basi hata matokeo yake yatakuwa ya kupika, machafuko peke yake ndio yatarejesha box la kura kuheshimiwa nchi hii fullstop.
NdioNa wewe ni moja wao?
MbaaffUmenena vyema sana mkuu! Lakini ngoja Malalamiko FC waje!!
Sasa boss mbona unanitukana kwa kutoa maoni yangu?Mbaaff
Kweli mkuu umeuliza swali zuri ,kwamba 2015 mpaka 2020 wameongezea wanachama ml 10 ? Alafu mtoa mada pamoja na takwim zake ila amesahau kwamba 2015 jpm alikua angalau na mvuto kwa wapiga Kura japo hakumzidi lowassa kwa mvuto ila hata Kura mil 8 sidhani Kama zilifika Sasa Kama hazikufika kipindi kile vipi Leo ambapao unaonesha wazi mvuto kwa jpm kwa wapiga Kura upo chini Sana ,Milioni 17 za ccm umezipata wapi (source)?
Shut upSasa boss mbona unanitukana kwa kutoa maoni yangu?
it true for physical sciences but not so for political science.Habarini za Leo Wadau !!
Kwanza niombe *Jazba ziwekwe pembeni , Akili zifanye Kazi na Tushindane kwa Hoja siyo Vioja !!!!*
Binafsi niwakumbushe Wapenda SIASA Kuwa SIASA ni *Hesabu* !!! Kama Haujuwi Hesabu huu mchezo utakuua na Pressure.
Kwenye Kila Uchaguzi Kuna Wapiga Kura wa aina 3.
*1. WAPIGA KURA wa Chama Chako* ( Hawa kwa lugha nyepesi tunawaita wafia Chama ) Hawa huwa wanapiga Kura kwa kuangalia Ubora wa mgombea wao, Mvuto wake, imani yao kwake na mwisho ni MAPENZI yao ya dhati kwa chama Chao. Mara nyingi inyeshe mvua liwake jua hawa huwezi kuwapindua utachoka wewe tu !!
*2. WAPIGA Kura wa Chama PINZANI.* Hawa ni wafia Chama wa Itikadi yao. Wengi ni wapinzani wakutoka TUMBONI mwa mama zao au walikuwa wanufaika wa mfumo flani kwa hiyo huongezeka kulingana na namna Maslahi yao yalivyokwama. Hawa hata uwaletee *PEPO MAJUMBANI* kwao hawawezi kukukubali.
*3. WAPIGA Kura wasiyo na Vyama ( Un decided Voters )*
Hawa hawana Vyama, hawa ni Bendera fuata upepo na ndiyo Kundi linalochanganya saana. Kwa Kuwa kila Mkutano wa Mgombea wao huudhuria kwa Raha zao. Na ni kundi Muhimu sana linalofanya maamuzi kulingana na kushawishika na Sera, kuvutiwa na mgombea na mabadiliko ya dhati waliyoyashuhudia.
*TAKWIMU ZINASEMAJE SASA !!!!!*
Wapiga KURA wa Uchaguzi wa Mwaka huu 2020 inakadiriwa Kuwa wapo *Milioni 29.*
Hilo ndiyo *Kombe lenyewe la kugombaniwa ( Wapiga KURA )*
Kati yao *CCM pekee ina wanachama Hai MILIONI 17* achana na Wakereketwa na *WAFURUKUTWA* ambao idadi yao inaongezeka kila Siku.
Sasa hili ni Kundi la Kwanza Tu !!! Hawa Ni wafia CHAMA. watukane utakavyo watakufa na Chama chao.
Wanachama hawa wa CCM MWAKA HUU wakikipigia KURA pekee Chama chao bila ongezeka la KURA moja ya Upinzani *CCM na Magufuli watakuwa wameshinda kwa 58.62%*
Kwa hiyo *MAGUFULI , CCM* na *mtandao* wake mkubwa ambao upo kila Kitongoji na KIJIJI wanapambana Kuongeza Kura tu kutoka KUNDI la Watu wasiyo na VYAMA *( Undecided Voters)* ili kutunisha MFUKO wao wa USHINDI kupandisha asilimia (%) Tu !!!
Jambo ambalo linaendelea kuipa NAFASI KUBWA CCM Kushinda kwa KISHINDO. Hayo magoti ya *UNYENYEKEVU yanayopigwa na Mgombea wa CCM na Wagombea wengine wa CCM wa Ngazi mbalimbali Nchi nzima matokeo yake yataonekana kwenye SANDUKU la KURA muda mchache Ujao TAREHE 28/10/2020.*
Wapiga KURA wanahitaji *Maendeleo, Heshima, Kuthaminiwa , AMANI na Utulivu.*
Hayo yote CCM ndani ya Miaka 5 imeyafanya kwa Kiwango KIKUBWA ZAIDI !!!!
Narudia tena kusema, SIASA ya MAENDELEO *( Political Development)* na Siasa ya HARAKATI *(Political Movement)* kwenye SANDUKU la KURA, SIASA ya Maendeleo ndiyo inalipa zaidi.
" NALITAKIA TAIFA UCHAGUZI MWEMA "
Kwahiyo CHADEMA NA ACT tafadhali msiondoe agenda ya NGUVU YA UMMA mezani. Lissu atashinda si chini ya 70%. Mnadhani tume ya Daktari Mahera kwa vyovyote itamtangaza????? No!!!! Never!!! So what!!!!???Ccm itashinda kwenye kura Za bao la mkono ila sio kura Za mioyo ya watu. Kuna mda inabidi chama kijitafakari watu wamewachoka waliokuwa ndani na hawasemi na waliokuwa nje hawana nguvu ya kuwaondoa ila mda unavozidi kwenda kuna kundi la tatu la system hili likiwachoka ndio ccm itaondoka madarakan wazungu wanasema ‘’Time will tell’’ napita tu mungu kaumba Akili sio Elimu
Haya tuambie wewe waliojiandikisha ni wangapi kama unakataa takwimu za NEC?
Kama unapuuza nguvu ya Mama Samia, Makamu wa Rais, je, Majaliwa, Waziri Mkuu? Pamoja na kejeli zake Lissu hajathubutu kuwataja. Uadilifu wao na nguvu yao kisiasa, 2025, upinzani hauna pa kutokea.Ukweli lazima usemwe wana CCM wengi ndani ya chama wapo kinafiki,wengi wanamchukia jiwe moyoni hawawezi kuonyesha hadharani ebu imagine Mtendaji Mkuu wa chama alipishana kauli na jiwe na kutaka kujiuzulu-in membe voice sasa katika hali hii huyu mtendaji mkuu amekaa ili kutoleta aibu.
Makamu wa Jiwe-mama samia kulikuwa na rumours kuwa alitaka kujiuzuru-ni dhahiri akibaki ili kulinda heshima ya chama na serikali.
Sasa hao ni top management ndani ya serikali na chama kwa sasa wapo kimwili ila mioyo yao imisha jeuriwa,vipi common people ambao hawakidhi mahitaji yao ya kimaisha???
Magu hata ikitokea akishinda inabidi abadilishe msimamo wake na mtazamo wake kuhusu Taifa hili.
Mikataba inabidi iwekwe wazi ili wananchi popote walipo waweze kui-access,ndo ilivyo hivo. Sasa unafikiri ikishakuwa released kwa public itashindikana kupatikana humu?Unafikiri utaletewa mikataba hapa JF?
Vp itaingia road.....
ama ww utaandamana humu humu!
kama sintofahamu zikijitokeza?
Hivi ile sgr ya Dar to Moro alisema inakamilika Nov. 2019 kwa nini haijakamilika hadi leo?Kazi kubwa aliyofanya kwa miaka minne na ushehe