Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ukweli lazima usemwe wana CCM wengi ndani ya chama wapo kinafiki,wengi wanamchukia jiwe moyoni hawawezi kuonyesha hadharani ebu imagine Mtendaji Mkuu wa chama alipishana kauli na jiwe na kutaka kujiuzulu-in membe voice sasa katika hali hii huyu mtendaji mkuu amekaa ili kutoleta aibu.

Makamu wa Jiwe-mama samia kulikuwa na rumours kuwa alitaka kujiuzuru-ni dhahiri akibaki ili kulinda heshima ya chama na serikali.

Sasa hao ni top management ndani ya serikali na chama kwa sasa wapo kimwili ila mioyo yao imisha jeuriwa,vipi common people ambao hawakidhi mahitaji yao ya kimaisha???

Magu hata ikitokea akishinda inabidi abadilishe msimamo wake na mtazamo wake kuhusu Taifa hili.
 
Habarini za Leo Wadau !!

Kwanza niombe *Jazba ziwekwe pembeni , Akili zifanye Kazi na Tushindane kwa Hoja siyo Vioja !!!!*

Binafsi niwakumbushe Wapenda SIASA Kuwa SIASA ni *Hesabu* !!! Kama Haujuwi Hesabu huu mchezo utakuua na Pressure.

Kwenye Kila Uchaguzi Kuna Wapiga Kura wa aina 3.

*1. WAPIGA KURA wa Chama Chako* ( Hawa kwa lugha nyepesi tunawaita wafia Chama ) Hawa huwa wanapiga Kura kwa kuangalia Ubora wa mgombea wao, Mvuto wake, imani yao kwake na mwisho ni MAPENZI yao ya dhati kwa chama Chao. Mara nyingi inyeshe mvua liwake jua hawa huwezi kuwapindua utachoka wewe tu !!

*2. WAPIGA Kura wa Chama PINZANI.* Hawa ni wafia Chama wa Itikadi yao. Wengi ni wapinzani wakutoka TUMBONI mwa mama zao au walikuwa wanufaika wa mfumo flani kwa hiyo huongezeka kulingana na namna Maslahi yao yalivyokwama. Hawa hata uwaletee *PEPO MAJUMBANI* kwao hawawezi kukukubali.

*3. WAPIGA Kura wasiyo na Vyama ( Un decided Voters )*

Hawa hawana Vyama, hawa ni Bendera fuata upepo na ndiyo Kundi linalochanganya saana. Kwa Kuwa kila Mkutano wa Mgombea wao huudhuria kwa Raha zao. Na ni kundi Muhimu sana linalofanya maamuzi kulingana na kushawishika na Sera, kuvutiwa na mgombea na mabadiliko ya dhati waliyoyashuhudia.

*TAKWIMU ZINASEMAJE SASA !!!!!*

Wapiga KURA wa Uchaguzi wa Mwaka huu 2020 inakadiriwa Kuwa wapo *Milioni 29.*

Hilo ndiyo *Kombe lenyewe la kugombaniwa ( Wapiga KURA )*

Kati yao *CCM pekee ina wanachama Hai MILIONI 17* achana na Wakereketwa na *WAFURUKUTWA* ambao idadi yao inaongezeka kila Siku.

Sasa hili ni Kundi la Kwanza Tu !!! Hawa Ni wafia CHAMA. watukane utakavyo watakufa na Chama chao.

Wanachama hawa wa CCM MWAKA HUU wakikipigia KURA pekee Chama chao bila ongezeka la KURA moja ya Upinzani *CCM na Magufuli watakuwa wameshinda kwa 58.62%*

Kwa hiyo *MAGUFULI , CCM* na *mtandao* wake mkubwa ambao upo kila Kitongoji na KIJIJI wanapambana Kuongeza Kura tu kutoka KUNDI la Watu wasiyo na VYAMA *( Undecided Voters)* ili kutunisha MFUKO wao wa USHINDI kupandisha asilimia (%) Tu !!!

Jambo ambalo linaendelea kuipa NAFASI KUBWA CCM Kushinda kwa KISHINDO. Hayo magoti ya *UNYENYEKEVU yanayopigwa na Mgombea wa CCM na Wagombea wengine wa CCM wa Ngazi mbalimbali Nchi nzima matokeo yake yataonekana kwenye SANDUKU la KURA muda mchache Ujao TAREHE 28/10/2020.*

Wapiga KURA wanahitaji *Maendeleo, Heshima, Kuthaminiwa , AMANI na Utulivu.*

Hayo yote CCM ndani ya Miaka 5 imeyafanya kwa Kiwango KIKUBWA ZAIDI !!!!

Narudia tena kusema, SIASA ya MAENDELEO *( Political Development)* na Siasa ya HARAKATI *(Political Movement)* kwenye SANDUKU la KURA, SIASA ya Maendeleo ndiyo inalipa zaidi.

" NALITAKIA TAIFA UCHAGUZI MWEMA "
Umenena vyema sana mkuu! Lakini ngoja Malalamiko FC waje!!
 
Sema haya ni matamanio yako na sio uchambuzi. Ccm kama ina wanachama wa kweli basi hawazidi milioni tatu nchi hii. Nchi hii ina wananchi 59m+, hakuna uwezekano nusu yake yaani 29m+ wawe wamejiandikisha kupiga kura. Idadi hii ya wapiga kura ni ya kupika, kama tume imeweza kupika idadi ya wapiga kura, basi hata matokeo yake yatakuwa ya kupika, machafuko peke yake ndio yatarejesha box la kura kuheshimiwa nchi hii fullstop.
Haya tuambie wewe waliojiandikisha ni wangapi kama unakataa takwimu za NEC?
 
Milioni 17 za ccm umezipata wapi (source)?
Kweli mkuu umeuliza swali zuri ,kwamba 2015 mpaka 2020 wameongezea wanachama ml 10 ? Alafu mtoa mada pamoja na takwim zake ila amesahau kwamba 2015 jpm alikua angalau na mvuto kwa wapiga Kura japo hakumzidi lowassa kwa mvuto ila hata Kura mil 8 sidhani Kama zilifika Sasa Kama hazikufika kipindi kile vipi Leo ambapao unaonesha wazi mvuto kwa jpm kwa wapiga Kura upo chini Sana ,
Wenda wengi wapenzi na wafuasi wa ccm hawataki habari Kama hii lakini ndo ukweli wenyewe.
Sawa Kila chama kina njia ya kufanya kampeni,na ccm wanafanya kampeni na wanamziki ,Sina shida na hilo ,shida hapa ni ccm kupata data kamili kwamba wanakubalika wao Kama chama au Basi tu watu wapo kwa kimuangali zuchu,hivyo ukitaka Hali halisi ya ccm wapige mkutano mmoja bala wasanii,kwa Sasa aina ya kampeni wanayofanya ni ngum kuelewa Kama watapata Kura m3 au zaidi ,so Kama Wana ubavu ili tuwapime vizur ebu pigeni mkutano mmoja katika wilaya moja ila wasisombe watu
 
Habarini za Leo Wadau !!

Kwanza niombe *Jazba ziwekwe pembeni , Akili zifanye Kazi na Tushindane kwa Hoja siyo Vioja !!!!*

Binafsi niwakumbushe Wapenda SIASA Kuwa SIASA ni *Hesabu* !!! Kama Haujuwi Hesabu huu mchezo utakuua na Pressure.

Kwenye Kila Uchaguzi Kuna Wapiga Kura wa aina 3.

*1. WAPIGA KURA wa Chama Chako* ( Hawa kwa lugha nyepesi tunawaita wafia Chama ) Hawa huwa wanapiga Kura kwa kuangalia Ubora wa mgombea wao, Mvuto wake, imani yao kwake na mwisho ni MAPENZI yao ya dhati kwa chama Chao. Mara nyingi inyeshe mvua liwake jua hawa huwezi kuwapindua utachoka wewe tu !!

*2. WAPIGA Kura wa Chama PINZANI.* Hawa ni wafia Chama wa Itikadi yao. Wengi ni wapinzani wakutoka TUMBONI mwa mama zao au walikuwa wanufaika wa mfumo flani kwa hiyo huongezeka kulingana na namna Maslahi yao yalivyokwama. Hawa hata uwaletee *PEPO MAJUMBANI* kwao hawawezi kukukubali.

*3. WAPIGA Kura wasiyo na Vyama ( Un decided Voters )*

Hawa hawana Vyama, hawa ni Bendera fuata upepo na ndiyo Kundi linalochanganya saana. Kwa Kuwa kila Mkutano wa Mgombea wao huudhuria kwa Raha zao. Na ni kundi Muhimu sana linalofanya maamuzi kulingana na kushawishika na Sera, kuvutiwa na mgombea na mabadiliko ya dhati waliyoyashuhudia.

*TAKWIMU ZINASEMAJE SASA !!!!!*

Wapiga KURA wa Uchaguzi wa Mwaka huu 2020 inakadiriwa Kuwa wapo *Milioni 29.*

Hilo ndiyo *Kombe lenyewe la kugombaniwa ( Wapiga KURA )*

Kati yao *CCM pekee ina wanachama Hai MILIONI 17* achana na Wakereketwa na *WAFURUKUTWA* ambao idadi yao inaongezeka kila Siku.

Sasa hili ni Kundi la Kwanza Tu !!! Hawa Ni wafia CHAMA. watukane utakavyo watakufa na Chama chao.

Wanachama hawa wa CCM MWAKA HUU wakikipigia KURA pekee Chama chao bila ongezeka la KURA moja ya Upinzani *CCM na Magufuli watakuwa wameshinda kwa 58.62%*

Kwa hiyo *MAGUFULI , CCM* na *mtandao* wake mkubwa ambao upo kila Kitongoji na KIJIJI wanapambana Kuongeza Kura tu kutoka KUNDI la Watu wasiyo na VYAMA *( Undecided Voters)* ili kutunisha MFUKO wao wa USHINDI kupandisha asilimia (%) Tu !!!

Jambo ambalo linaendelea kuipa NAFASI KUBWA CCM Kushinda kwa KISHINDO. Hayo magoti ya *UNYENYEKEVU yanayopigwa na Mgombea wa CCM na Wagombea wengine wa CCM wa Ngazi mbalimbali Nchi nzima matokeo yake yataonekana kwenye SANDUKU la KURA muda mchache Ujao TAREHE 28/10/2020.*

Wapiga KURA wanahitaji *Maendeleo, Heshima, Kuthaminiwa , AMANI na Utulivu.*

Hayo yote CCM ndani ya Miaka 5 imeyafanya kwa Kiwango KIKUBWA ZAIDI !!!!

Narudia tena kusema, SIASA ya MAENDELEO *( Political Development)* na Siasa ya HARAKATI *(Political Movement)* kwenye SANDUKU la KURA, SIASA ya Maendeleo ndiyo inalipa zaidi.

" NALITAKIA TAIFA UCHAGUZI MWEMA "
it true for physical sciences but not so for political science.
 
Ccm itashinda kwenye kura Za bao la mkono ila sio kura Za mioyo ya watu. Kuna mda inabidi chama kijitafakari watu wamewachoka waliokuwa ndani na hawasemi na waliokuwa nje hawana nguvu ya kuwaondoa ila mda unavozidi kwenda kuna kundi la tatu la system hili likiwachoka ndio ccm itaondoka madarakan wazungu wanasema ‘’Time will tell’’ napita tu mungu kaumba Akili sio Elimu
Kwahiyo CHADEMA NA ACT tafadhali msiondoe agenda ya NGUVU YA UMMA mezani. Lissu atashinda si chini ya 70%. Mnadhani tume ya Daktari Mahera kwa vyovyote itamtangaza????? No!!!! Never!!! So what!!!!???
 
Haya tuambie wewe waliojiandikisha ni wangapi kama unakataa takwimu za NEC?

Sina idadi kamili maana sina means za kujua idadi kamili, lakini hakuna uwezekano wowote nusu ya watanzania wote kuwa wamejiandikisha kwenye daftari la wapiga kura. Sana sana wengi ni wale wenye vitambulisho vya 2015, na wachache mno wapya. Hardly hawafiki 25m.
 
Ukweli lazima usemwe wana CCM wengi ndani ya chama wapo kinafiki,wengi wanamchukia jiwe moyoni hawawezi kuonyesha hadharani ebu imagine Mtendaji Mkuu wa chama alipishana kauli na jiwe na kutaka kujiuzulu-in membe voice sasa katika hali hii huyu mtendaji mkuu amekaa ili kutoleta aibu.

Makamu wa Jiwe-mama samia kulikuwa na rumours kuwa alitaka kujiuzuru-ni dhahiri akibaki ili kulinda heshima ya chama na serikali.

Sasa hao ni top management ndani ya serikali na chama kwa sasa wapo kimwili ila mioyo yao imisha jeuriwa,vipi common people ambao hawakidhi mahitaji yao ya kimaisha???

Magu hata ikitokea akishinda inabidi abadilishe msimamo wake na mtazamo wake kuhusu Taifa hili.
Kama unapuuza nguvu ya Mama Samia, Makamu wa Rais, je, Majaliwa, Waziri Mkuu? Pamoja na kejeli zake Lissu hajathubutu kuwataja. Uadilifu wao na nguvu yao kisiasa, 2025, upinzani hauna pa kutokea.
 
Unafikiri utaletewa mikataba hapa JF?
Mikataba inabidi iwekwe wazi ili wananchi popote walipo waweze kui-access,ndo ilivyo hivo. Sasa unafikiri ikishakuwa released kwa public itashindikana kupatikana humu?
BTW hujaelewa content yangu hapo mwanzo ndo mana umedakia.
 
Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.

Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.

Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.

Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwa kila kituo na watakuwa monitored.

Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.

Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama

Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.

Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.

Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki

Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.

Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?

Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
 
Kazi kubwa aliyofanya kwa miaka minne na ushehe.
Ujenzi wa miundombinu ya barabara
SGR
ununuzi wa ndege
elimu bure
ujenzi wa vituo vya afya
kuwashughulikia mafisadi
ujenzi wa meli mpya
treni kuabza kazi baada ya miaka 30
Tembo kuongezeka
uboreshaji wa mapato
kupunguza vifo vya albino na vikongwe
ajali za mabasi kupungua
ununuzi wa ndege
TTCL kurejea
pato la madini kukua na udhibiti wa rasilimali
Kupambana na covid 19
kuondoa kero kwa wamachinga
kuondia kero ya bodi ya mikopo vyuo vikuu
elimu bure
n.k
 
Back
Top Bottom