Wewe ukiacha wengine watamchagua. Muhimu kura zitimie na kujaa by 80%Vipi kama hatutamchagua, utatufanya nini? HATUMTAKI. Mchague mwenyewe.
Wewe ukiacha wengine watamchagua. Muhimu kura zitimie na kujaa by 80%
Wale wa korosho na kahawa wanasemaje kwani?View attachment 1590701
Wakulima wa Tanzania wanasema Magufuli amewafanyia makubwa
Wanasema kura zote wanazipeleka kwa Rais Magufuli
Mbona mimi mkulima sijashiriki huu kushirikiana?View attachment 1590701
Wakulima wa Tanzania wanasema Magufuli amewafanyia makubwa
Wanasema kura zote wanazipeleka kwa Rais Magufuli
Itakua mkulima anaemsema ni Mizengo Pinda.Mbona mimi mkulima sijashiriki huu kushirikiana?
Itakua mkulima anaemsema ni Mizengo Pinda.Mbona mimi mkulima sijashiriki huu kushirikiana?
Kuna wengine walipongeza kwa kuletewa Reli ya kiwango cha Lami.Inamaama hao wakulima wameona manufaa ya reli tayari?Mbona hata haijakamilika?
[emoji16][emoji16],hao watakuwa wakulima wa Lumumba wa nyuma ya keyboard!
Mkulima kutoka lumumbaView attachment 1590701
Wakulima wa Tanzania wanasema Magufuli amewafanyia makubwa
Wanasema kura zote wanazipeleka kwa Rais Magufuli
Akili na njaa daima havifanyi kazi pamoja na haitatokea
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.
Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.
UPDATE:-