Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Upuuzi!Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Je nani mwenye utashi wa kisiasa kuisukuma miradi hiyo iishe mbali na wakandarasi? Siyo JPMMagufuli sio 'contractor' wa miradi na wala sio 'consultant', na pesa ya kumalizia miradi ni kodi zetu! ... SEMA JINGINE!
😅
👊 ✌✌✌💥
Ushahidi gani tena miradi inazungumzaUpuuzi!
Mtu aliyebadilika atatamkaje wazi wazi kuwa atajenga miradi kwa upendeleo?
Atashindwa vipi kukiri kwa kinywa chake hata aahidi kubadilika kupitia midomo ya watu ?
Huyo kabadilika kweli? Labda uweke ushahidi wa unachokizungumza
Tunataka ajira miradii baki nayoNimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Take a hypothetical situation, Amekufa leo, nini kitafuata na miradi hiyo?Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Kwan anatumia pesa zake za mfukoni sio lazima amalizie yeye hata wengine wanaweza , ni kodi zetu ndio zinatumikaNimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Mradi upi?? Uwanja wa mpira chato???Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Unamaanisha miradi ndiyo ushahidi wa kubadilika unakotuelezea hapa sisi wapiga kura?Ushahidi gani tena miradi inazungumza
MkuuNimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Kwa hiyo baada ya miaka 5 kama bado hajamaliza miradi (kumbuka ataanzisha mingine), tutengue katiba ili tumpe mitano tena au tuondoe ukomo? Naona umejifunga goli tu.Nimetafakari kwa kina kuhusu uchaguzi wa tarehe 28.10.2020 kwa maoni yangu ni bora JPM achaguliwe tena ili apate fursa ya kumalizia miradi iliyopo.
Iwapo kuna mapungufu yoyote naamini amesikia kilio cha wananchi atarekebisha kasoro hizo kwa vile uongozi ni pamoja na mafanikio na changamoto.
Yeyote anayejali kutenda Kama katiba yetu inavyoelekeza, na mtenda haki, lazima atakuwa na utashi wa kuheshimu kandarasi halali!Je nani mwenye utashi wa kisiasa kuisukuma miradi hiyo iishe mbali na wakandarasi? Siyo JPM