Nauliza tu mkuu. Sasa na mimi ukiniuliza ni kama vile unaninyanyapaaWE ULISIKIA WAPI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza tu mkuu. Sasa na mimi ukiniuliza ni kama vile unaninyanyapaaWE ULISIKIA WAPI?
Na kwa kiburi hiki wafanyakazi wenye ndugu wanaowategemea wawahamasishe wafanye maamuzi sahihi maana wao ndio wanaumiaSijaona popote tangu CCM wamezindua kampeni zao wakisema chochote kuhusu wafanyakazi wa umma.
Mishahara, madaraja, nyongeza n.k
Ni kama hakuna kitu kama hicho kwenye ilani yao.
Sawa.
Wewe hukustahili hata kua mTanzaniaHuyu hakustahili kuwa Rais wa nchi
Aibu kwa kweli.Ulimbukeni wa ajabu, uzuri Watanzania wajinga wanapungua.
Leo Ikungi kasema ... Mtaturu miezi michache kaniomba maji..... wengine walikuwa hawaombi..( Lissu) ..
Aibu na fedheha kwa wananchi toka kwa mtawala.
Aiseeeee !!Ombeni nanyi mtapewa.
Nasikia ukiwa mbunge wa upinzani maendeleo hawapati kwenye jimbo lako ili wananchi waone huna lolote..huu ndio mtizamo ambao Magufuli ameujenga kwa muda mrefu, na amekuwa akipita kila mahali kusisitiza hilo.
..kwamba eneo husika kupata maendeleo raisi/magufuli ndiye muamuzi. Na asipojisikia, au asipokuwa na mahusiano mazuri na mbunge wa eneo hilo, basi hakuna maendeleo.
..kama anakusanya kodi kila mahali ktk nchi hii, basi miradi ya maendeleo igawanywe kulingana na mahitaji, na siyo raisi anajisikia vipi, au mbunge ana mahusiano gani na watawala.
UwahiNashika nafasi nitarudi muda si mrefu
na bado anasema hasomeshi wazazi ila hizi kauli bana