Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
Kweli kabisa eti atampa kazi Lissu,anaonea watu wanatekwa wanapewa makosa ya uongo,watu wanawekwa ndani bila dhamana amekaa kimya alafu eti nitampa kazi huyu nani anataka kazi zako ambazo umewapa watu ili wakusujudie hawana la kukupigia waka kukushauri
 
Mheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
No comment
 
Unajua kuna mambo na maneno mengine humu msemayo dhidi na kwa viongozi hayawezi KUTHIBITISHWA na yeyote ila mwandikaji. Kwa hali hii mnaweza kuzua ubishi wa kitoto humu JF, kwamba alisema, hapana hakusema and so so and so on! Hayo mapya unayotaka wewe ni yapi, aseme mambo ambayo CCM haikufanya? Aseme uongo kama wasemavyo wengi wenu au aseme nini!? Hoja hapa kwenye huu uchaguzi wa 2020 ni kuonyesha YALIYOFANYIKA NA YATAKAYOFANYIKA via the CCM Party Manifesto, Wewe unataka mapya, yamo kwenye ILANI YAO, CCM. Isome uwaulize kama hayo yaliyomo humo NI MAPYA AU MAKONGWE!
 
Back
Top Bottom