Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Umesema vyema sana ndugu, angetueleza vile amefanya kwa miaka mitano na sio suala la kuanza kutaka kuonewa huruma na Lissu kwa kumrubuni kumpa kazi!
Kweli kabisa eti atampa kazi Lissu,anaonea watu wanatekwa wanapewa makosa ya uongo,watu wanawekwa ndani bila dhamana amekaa kimya alafu eti nitampa kazi huyu nani anataka kazi zako ambazo umewapa watu ili wakusujudie hawana la kukupigia waka kukushauriMheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
AhahahahahaMkuu uhuru ni dhana pana. Siku ukiwa huru utanielewa... sasahivi endelea kutesekea utumwa.
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
No commentMheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
Mku alitaka jipya lipi labda..amezungumzia mati.ti ya kunyonyesha watoto.
Weka commentNo comment
Mku alitaka jipya lipi labda
..amezungumzia mati.ti ya kunyonyesha watoto.