Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mkuu nafikiri umesahau mambo muhimu, Mheshimiwa alikwenda kujificha Chattle, ilikuwa ni pale juisi ya Madagascar ilipoletwa na Kabudi, ndipo Mkuu alipata ujasiri wa kutoka mafichoni kama mshindi wa picha ya Kihindi, yaani Mithun ama Amitha ktk muvi zao enzi zao walipokuwa wakibamba sana miaka ya 1980s
 
Push up Inakwenda Kupigwa Kwenye Mkoa Ule Ule!! Subiri Uone 🙄😀😁
 
TBC wanakatiza kwa kuwa Chadema baadhi yao ni wahuni...baadala ya kuta gaza sera wao wanasema kitanuka mara sijui watalala barabarani...yaani Chadema wanahamasisha vurugu na uvunjifu wa amani ...Kama TBC watatangaza mambo hayo ina wanashabikia hayo...na mbaya zaidi TBC hata wao wanaweza kushitakuwa na mamlaka husika ikiwemo TCRA...
 
Mwaka 2015 wagombea wa CCM maeneo mbalimbali wakati wa kampeni walipiga Sana pushap. Mwaka huu nafuatilia kampeni lakini sioni dalili za wagombea kupiga pushap?

Nini kimefanya pushap kupuuzwa awamu hii?

Siku za Kampeni 'Kiratiba' ni 62 na ndiyo Kwanza 'Wagombea' wapo katika Siku za Tatu na wengine za Pili hivyo Siku za 'Pushapu' bado zipo nyingi.
 
Mkuu hoja yangu ya msingi ni IPI lugha Kali IPI so lugha Kali...
Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa lugha kuwa kali ama sj Kali inatokana na perception ya MTU ..Mimi sikubaliani na wewe! Maelezo yako hayajitoshelezi..kuyatamka matiti ya mwanamke au kuwahamasisha wanawake wafanye ngono(yaweza kuwa zembe) ni ukakasi mbele ya jamii yetu kutokana na utamaduni wetu uliojaa staha.
 
Wenye akili zinazojielewa wamemuelewa sana kuanzia kipindi kile cha corona. Hawa wenye kuongozwa na dhihaka na utoto wa mitandaoni hawawezi kumuelewa.
 
Kiki ya Corona ilishapita

Nasisi tutasema miujiza ya risasi 38 ndio itampeleka Lissu Ikulu.
Una kiburi cha uzima.

KOONA ilikupandisha presha na nyungu ulipiga acha kujitekenya
 
Ndio maana tulishauri wagombea wapimwe akili zao kabla ya kuteuliwa🤔🤔😒😒
 
labda kama unamaanisha "miungu".

Mungu wa mbinguni hapendi watu wanaojulikana wawatume wasiojulikana kudhuru watu!
 
Hii ni kweli kaisema mkuu!?
Mwenye kavideo tafadhali tuwekee sisi matomaso na tuliokosa.
 
Mwaka 2015 wagombea wa CCM maeneo mbalimbali wakati wa kampeni walipiga Sana pushap. Mwaka huu nafuatilia kampeni lakini sioni dalili za wagombea kupiga pushap?

Nini kimefanya pushap kupuuzwa awamu hii?
Waisraeli Wana kanuni yao kwamba mkakati uliofanikiwa haurudiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…