mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
Mkuu nafikiri umesahau mambo muhimu, Mheshimiwa alikwenda kujificha Chattle, ilikuwa ni pale juisi ya Madagascar ilipoletwa na Kabudi, ndipo Mkuu alipata ujasiri wa kutoka mafichoni kama mshindi wa picha ya Kihindi, yaani Mithun ama Amitha ktk muvi zao enzi zao walipokuwa wakibamba sana miaka ya 1980s