Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe ukiwekwa hautawatupa ndugu zako.Kakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.Pepo wa upumbavu toka
Pepo wa kutangatanga toka
Pepo wa ujinga toka
Sema wewe Katibu wa CCM wilaya ya Mafinga na familia yako mtamchagua Magufuli.
Mimi niliyeajiriwa 2015 sijui daraja jipya wala mshahara mpya nina kichaa mpaka nimpe kura Magufuli?
Eti amekuza Diplomasia, diplomasia ya Chato?
Matumizi ya mifumo ya kieletroniki kwenye makusanyo ya serikali hapo kafanya mapinduzi makubwa sana. Kaua panya wote kwenye kihengeKwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?
Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.
Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.
Na mengine mengi.
*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.
Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.
#MagufuliAendeleeTu
Kama yako mengi yanaonekana kwa macho mbona ni macho yako pekee ndo yanaona?Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?
Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.
Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.
Na mengine mengi.
*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.
Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.
#MagufuliAendeleeTu
Kwani aliyeweka sheria na kanuni za kumpandisha daraja mtumishi kila baada ya miaka 3-4 alikuwa chizi?Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.
Ebu tujiulize maswali ya msingi mawili tu
1. Umelifanyia nini taifa, taasisi au sehemu yako ya kazi toka 2015 mpaka kustahili ongezeko la mshahara na kupanda daraja.?
2. Toka umeajiriwa 2015 umeongeza utaalamu upi na weledi upi kazini kustahili kupandishwa daraja.?
Watanzania tuache ujinga na ujuaji usio na mantiki, kijana kama huyu kaajiliwa mwaka 2015 kaongeza thamani ipi kwa taifa mpaka astahili ongezeko la daraja.? Value for Money (VfM) iko wapi kwa kijana huyu.
Tujitafakari kama taifa, je ongezeko la mshahara na kupanda madaraja kunaendana na utendaji kazi wetu au business as usual. Na pia ujinga huu wa watu kutaka ongezeko la mishahara na madaraja uko serikalini tu, huku private ni lazima thamani yako ionekane ndipo upande daraja au mshahara. Na kama una thamani inayoendana utapanda madaraja na kufikia level kubwa ndani ya muda mfupi, lakini sio serikalini ambako mtu anacheza game la nyoka asubuhi mpaka muda wa kutoka na bado anataka kupanda madaraja.
Unavijua vigezo vya kupandishwa daraja.?Kwani aliyeweka sheria na kanuni za kumpandisha daraja mtumishi kila baada ya miaka 3-4 alikuwa chizi?
Je, hajaainisha sifa na vigezo?
Kama kuna sifa na vigezo, je, mimi sijavifikia?
Kwa mantiki hiyo hoja yako ni ipi?Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.
Ebu tujiulize maswali ya msingi mawili tu
1. Umelifanyia nini taifa, taasisi au sehemu yako ya kazi toka 2015 mpaka kustahili ongezeko la mshahara na kupanda daraja.?
2. Toka umeajiriwa 2015 umeongeza utaalamu upi na weledi upi kazini kustahili kupandishwa daraja.?
Watanzania tuache ujinga na ujuaji usio na mantiki, kijana kama huyu kaajiliwa mwaka 2015 kaongeza thamani ipi kwa taifa mpaka astahili ongezeko la daraja.? Value for Money (VfM) iko wapi kwa kijana huyu.
Tujitafakari kama taifa, je ongezeko la mshahara na kupanda madaraja kunaendana na utendaji kazi wetu au business as usual. Na pia ujinga huu wa watu kutaka ongezeko la mishahara na madaraja uko serikalini tu, huku private ni lazima thamani yako ionekane ndipo upande daraja au mshahara. Na kama una thamani inayoendana utapanda madaraja na kufikia level kubwa ndani ya muda mfupi, lakini sio serikalini ambako mtu anacheza game la nyoka asubuhi mpaka muda wa kutoka na bado anataka kupanda madaraja.
Kama lipo kisheria kwanini hamuendi mahakamani kulidai.?Kwa mantiki hiyo hoja yako ni ipi?
Maana kijana amewakilisha wafanyakazi wote ambao kwa miaka mitano sasa hakuna aliyepandishiwa mshahara.
Unafananisha sector ya umma na sekta binafsi unakosea.
Ongezeko la mshahara lipo kisheria katima sekta ya umma, huko binafsi ni ww na mwajiri wako.
Wewe si umeshasema uko private sasa waraka za madaraja kwa watumishi wa umma uliziona wapi?Unavijua vigezo vya kupandishwa daraja.?
Mahakama zipi? Kisutu revenue authority, subsidiary branch ya ccm?Kama lipo kisheria kwanini hamuendi mahakamani kulidai.?
Watanzania tunaangamia kwa kukosa maharifa. Wapi imeandikwa ukiwa mfanyakazi wa private huruhusiwi kujua waraka na sheria za utumishi wa umma.Wewe si umeshasema uko private sasa waraka za madaraja kwa watumishi wa umma uliziona wapi?
MAGUFULI FOR 2020/2025.Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?
Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.
Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.
Na mengine mengi.
*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.
Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.
#MagufuliAendeleeTu