Hata ungekuwa wewe usinge pendelea kwenu??? Acha siasa za maji taka kikatuni weweKakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ungekuwa wewe usinge pendelea kwenu??? Acha siasa za maji taka kikatuni weweKakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
hata aibu uoni yaani furaha yako ni kuona watz wakitpoea kwenye ufukara,hakuna mtza mwenye akili timamu atachagua kuteseka tenaKwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?
Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.
Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.
Na mengine mengi.
*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.
Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.
#MagufuliAendeleeTu
Kwa elimu gani bana ...........mbona wasomi wako wengi tu ccm.........tunaanza na raisi..,...ni Phd hao wengine ndio usiombee.......Bashiru anajuta kuinsjisi elimu yake kwa kuungana na nyinyi
uzalendo ni kuanza kwa wengine na sio kwako.pendelea kwenu kwa pesa zako na sio kwa kodi zetu.sasa kila ajae awe anapendelea kwao itakuwa nchi hio?Hata ungekuwa wewe usinge pendelea kwenu??? Acha siasa za maji taka kikatuni wewe
KUWA NA PHD SIO KUWA NA UWEZO WA KUFIKIRIKwa elimu gani bana ...........mbona wasomi wako wengi tu ccm.........tunaanza na raisi..,...ni Phd hao wengine ndio usiombee.......
Wote ndio ilikuwa hivyo anza na nyerere fuata mwinyi uje mkapa mpaka Kikwete na sasa boss johuzalendo ni kuanza kwa wengine na sio kwako.pendelea kwenu kwa pesa zako na sio kwa kodi zetu.sasa kila ajae awe anapendelea kwao itakuwa nchi hio?
Wewe unaejua maswala ya utumishi wa umma. Niambie sheria ipi inataka upandishwe daraja au mshaharaWewe si umeshasema uko private sasa waraka za madaraja kwa watumishi wa umma uliziona wapi?
Tumeridhika ,wewe na nani? Acha kuwasemea wengine ,sema nimeridhika.Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?
Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.
Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.
Na mengine mengi.
*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.
Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.
#MagufuliAendeleeTu
Wee kama unayo au ni rahisi kuwa nayo onyesha yako.....haafu huo uwezo unaureta hapa jukwaani .......nenda uko wakakuone ........usipoteze bando lakoKUWA NA PHD SIO KUWA NA UWEZO WA KUFIKIRI
Una ushahidi kuwa anaua watu wewe nyumbu? Acha hoja za kipuuzi, ndo mnataka mpewe nchi kwa hoja hizi!!Kakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
Sasa ulitak aje na hija zipi na ninyi leteni hoja zenu!Kama mmeshindwa kabisa kutengeneza nyuzi nzuri za propaganda tangazeni tenda watu waingie kazini...hayo uliyoandika hapo watu wamechoka kuyasikia maana kila anayekuja na uzi mambo ni hayohayo
Mungu kamwe hatakaa barazani pa wenye mizaha, wala kuketi karamuni pamoja na wenye mikono iliyotapakaa damu.Kabisaaaaaa ataendelea..
Mungu ndie alimpatia hiyo nafasi..
Magufuli 2020 [emoji817]
we ndo unatishika na eti phd, kitu ambacho yeyeto uwezo wa kukariri akiamua anakipata tu. Thus wengi reasoning zao ziko chini,hadi kumsujudia mwanaume mwenzao ili washibeWeWe kama unayo au ni rahisi kuwa nayo onyesha yako, haafu huo uwezo unaureta hapa jukwaani Nenda uko wakakuone, usipoteze bando lako
sio kweli usiwaonee hao sio wazalendo fekiWote ndio ilikuwa hivyo anza na nyerere fuata mwinyi uje mkapa mpaka Kikwete na sasa boss joh
Kakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
Ongea na mbumbumbu wenzio, wafanyakazi walionyimwa nyongeza ni walioajiriwa 2015 pekee? Waluoajiriwa 1990 wana maisha mazuri ee!?Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.
Ebu tujiulize maswali ya msingi mawili tu
1. Umelifanyia nini taifa, taasisi au sehemu yako ya kazi toka 2015 mpaka kustahili ongezeko la mshahara na kupanda daraja.?
2. Toka umeajiriwa 2015 umeongeza utaalamu upi na weledi upi kazini kustahili kupandishwa daraja.?
Watanzania tuache ujinga na ujuaji usio na mantiki, kijana kama huyu kaajiliwa mwaka 2015 kaongeza thamani ipi kwa taifa mpaka astahili ongezeko la daraja.? Value for Money (VfM) iko wapi kwa kijana huyu.
Tujitafakari kama taifa, je ongezeko la mshahara na kupanda madaraja kunaendana na utendaji kazi wetu au business as usual. Na pia ujinga huu wa watu kutaka ongezeko la mishahara na madaraja uko serikalini tu, huku private ni lazima thamani yako ionekane ndipo upande daraja au mshahara. Na kama una thamani inayoendana utapanda madaraja na kufikia level kubwa ndani ya muda mfupi, lakini sio serikalini ambako mtu anacheza game la nyoka asubuhi mpaka muda wa kutoka na bado anataka kupanda madaraja.
Bado yupyupo saana, cha kufanya hamia hata burundi au kongo.Kakojoe ukalale. Hatumtaki kwa sababu anaua watu na anatutesa watanzania. Anabambikia watu makesi na kupendelea kijijini kwake Chato
Udikteta upi umekithiri, eti hamana uhuru wa kujieleza mbona upo JF humu? Eti ufisadi umeongezeka maradufu ! Kama ufisadi bado upo si ungeona waponzani wanaishikia hiyo hoja! In short hamna cha kuwaeleza watanzania na huyo kibaraka wenu!.Toka aingie madarakani ufisadi umeongezeka maradufu (zaidi ya trilion moja na nusu).
Vitendo vya rushwa vimekithiri kwa sababu yeye mwenyewe alitoa go ahead (aliruhusu traffic officers wachukue elfu5 zaa kubrashia viatu)...