Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*

1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

#MagufuliAendeleeTu
*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*

1. Matumizi mabaya ya ofiisi.-amevunja sheria nyingi ikiwa ni pamoja na utumbuaji usio wa kisheria e.g CAG
2. Rushwa.-imeongezeka sana angalia uteuzi wa ccm rushwa tupu
3. Uhujumu uchumi.bado mkubwa sana na umefanywa na serikali wakati huu, mikopo mingi mno, matumizi mabaya ya fedha 1.5 trillion???
4. Ufujaji wa fedha za umma.1.5 trillion zikowapi?
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.uhuru wa vvyombo vya habari umekufa kabisa serikali hiii
7. Madawa ya kulevya. bado yapo watu wanakamatwa kama ilivyokuwa zamani
8. Ujambazi.visa vingi tu kila siku
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.kwa viwango duni
2. Vituo vya huduma za afya.havina dawa
3. Umeme vijijini.bado ni tatizo
4. Ongezeko la viwanda.vya kukoboa mpunga na kusaga mahindi
5. Miundombinu imara.ilijengwa sana na Mkapa na Kikwete
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.Mkapa alifanya vizuri na alianzisha TASAF
8. Ukuaji wa diplomasia.Diplomasia ya nchi imeharibika kabisa na marafiki zetu hata Kenya wametukimbia
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).tumefikia $1080 wakati lengo ni $3000 by 2025
10. Sekta ya utalii imeimarika.utalii umekufa na ndege zimepaki watu hawana ajira
11. Muungano.hakuna lolote hapo
12. Kilimo cha uhakika.bado jembe la mkono masoko hakuna korosho na mahindi yanaoza mikononi mwa wakulima
13. Amani, ulinzi na usalama.Tundu Lissu, Akqulina, Ben Saanane wako wapi?

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.Ni kazi ngumu sana kuitetea serikali hii lazima uchoke mapema! Pole.

#MagufuliAendeleeTu
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae...
Kwa bahati mbaya amewekewa pingamizi. Jina lake linaweza likakatwa na tume ya uchaguzi.
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

*(A) MAPAMBANO DHIDI YA:*

1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

*(B) MAENDELEO*
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

#MagufuliAendeleeTu
Wewe na nani?hebu acha kuwasemea watu wewe
 
Atarudi kwa kishindo, tena kishindo cha radi, Magufuli ni sauti ya Simba aungurumapo hakuna wa kusima.

Tukutane trh 29/08/2020, Dodoma. Safari hii ni mwendo wa kuwatimulia vumbi, tena vumbi la jangwani. Ilisikika sauti ikisema hakika limebarikiwa tumbo la mama aliyemzaa Magufuli.

Tunahitaji rais mwenye msimamo, anayesimamia kile anachokiamiani, mzalendo, mchapakazi na mwenye hofu ya Mungu, tunahitaji rais mwenye maono, anayewaza na kuona baada ya miaka kadhaa taifa linatakiwa liwe wapi. The end, tunahitaji rais atakayechaguliwa na watanzania, na sio anayeandaliwa na mataifa mengine kwa ajili ya manufaa yake na waliomutuma.
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae...
Umeamua wewe, ulitakiwa uandike kwa nafsi yako, umeamua wewe na watu wenu, halafu unaongea kama ni makubaliano rasmi.Kula mshahara utulie
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae...
Toka aingie madarakani ufisadi umeongezeka maradufu (zaidi ya trilion moja na nusu).

Vitendo vya rushwa vimekithiri kwa sababu yeye mwenyewe alitoa go ahead (aliruhusu traffic officers wachukue elfu5 zaa kubrashia viatu).

Amewadharau wafanyakazi wote kuanzia Jeshi, polisi mpaka mfanyakazi wa chini kabisa (Hakuna kuwapandisha mshahara, kwani mtanifanya nini, ukiona mshahara haukutoshi acha kazi).

Amewadharau vijana waliomaliza elimu ya juu, hakuna ajira.

Vitendo vya utekwaji, uuaji, ubambikiaji kesi vimeongezeka maradufu katika utawala wake.

Uminywaaji wa demokrasia, ukosefu wa uhuru wa kujieleza, na kila aina ya udikteta vimekithiri katika awamu ya5.

Yapo mengi sana mabaya kuliko mazuri ya kumconvice mtu amchague huyu bwana.

Ngoja nimalizie kitimoto hapa nitaendelea kuyaorodhesha.
 
Binadamu hatuna shukrani hata akija mwingine baada ya siku chache atabebeshwa lawama za kufa mutu nazani tunatakiwa kuongozwa na malaika kabisa sio mwana damu,nimushauli rais magufuri akitokea akashinda uchaguzi, awe mwizi wa wazi kabisa na asafiri inchi za mbali kula bata tuuuuuuuuuuuu.
 
Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.

Ebu tujiulize maswali ya msingi mawili tu

1. Umelifanyia nini taifa, taasisi au sehemu yako ya kazi toka 2015 mpaka kustahili ongezeko la mshahara na kupanda daraja.?

2. Toka umeajiriwa 2015 umeongeza utaalamu upi na weledi upi kazini kustahili kupandishwa daraja...

Watu wengine nishagundua mnalipwa kuja kutetea ujinga... Yaani mtu ambaye yupo kazini miaka 5 unajifanya hujui alichokifanya hadi aongezewe mshahara!?

Ukiendelea nakutukana matusi ya nguoni ili unifungulie kesi.
 
Nenda k
Wewe unaejua maswala ya utumishi wa umma. Niambie sheria ipi inataka upandishwe daraja au mshahara
Nenda kasome kanuni namba 14(1-7) ya mwaka 2003 ya utumishi wa uma juu ya vyeo na nyongeza za watumishi kama lilivyotolewa kwe tangazo la serikali namba 168 la tarehe 20/06/2003
 
Udikteta upi umekithiri , eti hamana uhuru wa kujieleza mbona upo JF humu? Eti ufisadi umeongezeka maradufu ! Kama ufisadi bado upo si ungeona waponzani wanaishikia hiyo hoja !.. In short hamna cha kuwaeleza watanzania na huyo kibaraka wenu!.
Usijambe ukaziba pua mwenyewe, andika jina lako kamili humu JF.

Ni awamu gani imeshawahi kuiba zaidi ya trilion 1.5 kama siyo hii?

Mambo mengine yanakuzidi uwezo wa kufikiri mtoto, siyo lazima uchangie, ficha upumbavu wako.
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae..
Mkuu hiyo ya kilimo cha uhakika ni bora utuombe radhi sisi wakulima na utubu kwa Mungu wako kwa kusema uongo na kutudharau washika jembe.

Mbona vitu vingi umeandika ndivyo sivyo? Hayo ndio mmejiandaa kwenda kuwahadaa wananchi? Safari hii kazi tunayo na hivi tumevamiwa na mtu aliyemeza microphone anatapika hadi nyongo.
 
Kwa misu
Atarudi kwa kishindo, tena kishindo cha radi, Magufuli ni sauti ya Simba aungurumapo hakuna wa kusima.

Tukutane trh 29/08/2020, Dodoma. Safari hii ni mwendo wa kuwatimulia vumbi, tena vumbi la jangwani. Ilisikika sauti ikisema hakika limebarikiwa tumbo la mama aliyemzaa Magufuli....
Kwa misuli, kama hii ya kupora form, kuengua wagombea wa upinzani, hapo bado kuiba kura.Unayaona haya lakini unafumba macho...
Time hii mmekutana na kichomi, kabla ya uchaguzi wameshakufa watatu.Mmoja ukerewe na wawili Tunduma.Tumia akili...shindeni on fair ground wala hakuna tatizo we fala
 
Hapa ndo changamoto na muktadha mzima wa wafanyakazi kutaka kuongezewa mishahara unapopotea. Wewe mtoto umeajiriwa 2015 unataka ongezeko la mshahara, ongezeko la daraja.

Ebu tujiulize maswali ya msingi mawili tu...
sheria ya kuongeza iliwekwa ya nn
 
Kura yangu kwa Magufuli mwaka huu.

Sina sababu kubwaaa zaidi ya kupenda anavyotatua matatizo hadharani huku akiwa na dhamira kubwa ya nchi na bara kwa ujumla.

Ana mapungufu yake kama binadamu lakini walau anafanya yake kina Nyerere na Nkwame wangeona yanafanyika Afrika.

Mwaka huu serikali inatakiwa kuwa makini saana hasa kwenye uchaguzi... sio kila mmoja hasa nje ya Afrika anafurahia anayofanya Magufuli na misimamo yake. Amevunja mikataba mingi ya makampuni ya mataifa makubwa.

Hawafurahii kuyaona haya yanafanywa na mwaafrika.Lolote wanaweza kufanya
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:

1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

#MagufuliAendeleeTu
 
Kama ni hivyo basi mabeberu wangekuwa wanawapa marais wao utawala wa maisha,kwa kuwa wamemaliza kufanya maendeleo ya nchi zao,na sasa wamehamia anga za juu kufanya maendeleo.
 
Back
Top Bottom