Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

UPUUZI MTUPU!

Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
Habari ya mujini kwa sasa ni Lissu tu
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
Kama mmeshindwa kabisa kutengeneza nyuzi nzuri za propaganda tangazeni tenda watu waingie kazini...hayo uliyoandika hapo watu wamechoka kuyasikia maana kila anayekuja na uzi mambo ni hayohayo
Ndiyo ujue kuwa kila uzi unao pandishwa hapa jamvini kusifia Jiwe basi umeandaliwa na Chakubanga ila anaye uleta hapa jamvini ni sawa na mesenja tu.
 
Hana uwezo wa kuongeza mishahara kuanzia nchi ipate uhuru mfanyakazi hajawahi kudhalilika kama wakati huu??? Yan hata wakati wa vita ya kagera JKN aliongeza mishahara
Wastaafu wanakufa bila viinua migongo so lampsum wala monthly pension hali ni mbaya
Kama huna bima ya afya kama watumishi inakula kwako dawa hakuna hospitali
Ukabila ukabila ukabila udin udinudin
Ajira sasa ni miaka mitano sio mwalimu sio nani kakuna kazi
Shule za msingi vijijini walimu wawili watotio 600
Upendeleo upendeleo upendeleo wa kikanda
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
MAGUFULI4LIFE.
 
Ungeweka na makorokoro yake maana naona ndio yanatuchefua kuliko hata huo ugirigiri mwingine sijui wa elimu bure.
 
Hakuna mtu ninayemuona hajielewi hapa duniani kama aneyeongelea elimu bure, kama hujazunguka sehemu mbalimbali na kuona hali za baadhi ya shule ndio utakuwa wa kwanza kuropoka mambo ya elimu bure.

Hiyo elimu bure inamsaada gani kwa taifa wakati mazingira ya kusomea watoto ni ya ovyo ovyo?
 
Back
Top Bottom