Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
Sikh iz Lumumba wameajil vijana wengi wajinga hiv na wew kwa Uzi huu utalipwa?
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
Huu ni UTOPOLO mtupu hakuna lolote. Rais ajaye ni Tundu Lissu tu.
 
we ndo unatishika na eti phd, kitu ambacho yeyeto uwezo wa kukariri akiamua anakipata tu. Thus wengi reasoning zao ziko chini,hadi kumsujudia mwanaume mwenzao ili washibe
Na wewe unataka kusujudiwa akati unamiliki kisimu cha kichina bando la kukopa tala........minywele michafu ....kuoga sio lazima .......haya sasa kakojoe ulale hapa
 
Kwani aliyeweka sheria na kanuni za kumpandisha daraja mtumishi kila baada ya miaka 3-4 alikuwa chizi?
Je, hajaainisha sifa na vigezo?
Kama kuna sifa na vigezo, je, mimi sijavifikia?
Acha kubishana na makula kulala Mkuu unapoteza muda, pia wapo mavyoo vikuu ma-oppotunists!! Hawajui maisha
 
Viwanda vipi vilivoongezeka?
Njoo huku mkoa wa pwani uone mapagale unayoyaita viwanda.
 

Ni kweli mliahidi mnatelekeza:

IMG_20200808_113420_115.jpg


Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

Hakika ni kweli mliahidi na sasa mnatekeleza:


IMG_20200820_093436_378.jpg
 

1. Elimu bure.
2. Ujenzi wa Vituo vya afya.
3. Usambazaji wa Umeme
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.r
8. Kuongezeka Uzalendo
9. Ukuaji wa Uchumi
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Kulinda Muungano.
12. Ukuaji Sekta ya Kilimo
13. Amani, ulinzi na usalama.
Tuliahidi& TumetekelezaView attachment 1549199View attachment 1549200
Hii team ni funga kazi!.
Hiyo October 28, kiukweli ni usipime!, sio tuu ni ushindi wa kishindo, bali ni tsunami ya kura za ushindi wa kishindo cha upepo wa kisulisuli!.
P
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
Rubbish
 
Hii team ni funga kazi!.
Hiyo October 28, kiukweli ni usipime!, sio tuu ni ushindi wa kishindo, bali ni tsunami ya kura za ushindi wa kishindo cha upepo wa kisulisuli!.
P
Umehangaika miaka mitano kusifu na kuabudu wala hujapata uteuzi! Bahatisha karata yako awamu hii.
 
Jitetee nafsi yako na siyo kujipambanua kuwasemea wengine...
 
sema kwa nn utampigia usiseme kwa nn tutampigia... mbona unaongea shit
 
Kwanini tutamchagua Rais Magufuli na sio wagombea wengine?

Jibu ni rahisi sana. Tumeona utendaji kazi wake, tumeridhika nae, tumeamua kuendelea nae.

Tangu alipoingia madarakani Novemba 2015, Tanzania imefanikiwa kwa mambo yafuatayo:

(A) MAPAMBANO DHIDI YA:
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Rushwa.
3. Uhujumu uchumi.
4. Ufujaji wa fedha za umma.
5. Utakasishaji fedha.
6. Uhalifu wa mitandaoni.
7. Madawa ya kulevya.
8. Ujambazi.
9. Utakasishaji fedha.
10. Ukwepaji kodi.

Na mengine mengi.

(B) MAENDELEO
1. Elimu bure.
2. Vituo vya huduma za afya.
3. Umeme vijijini.
4. Ongezeko la viwanda.
5. Miundombinu imara.
6. Mikopo bila riba.
7. Uwezeshaji kaya masikini.
8. Ukuaji wa diplomasia.
9. Ukuaji wa uchumi (UCHUMI WA KATI).
10. Sekta ya utalii imeimarika.
11. Muungano.
12. Kilimo cha uhakika.
13. Amani, ulinzi na usalama.

Yapo mengi. Yanaonekana kwa macho. Mkono ushachoka kuandika.

MagufuliAendeleeTu
Toa takataka zako hapa
 
Back
Top Bottom