Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hii itawahusu chadema au wananchi wa ubeligijiTarajieni mabaya zaidi
- tutatekwa na kupotezwa zaidi
- bodi ya mikopo walio kopa watakatwa asilimia kubwa zaidi
- kikotoo kinacho wapunja wastaafu kitaanza kutumika rasmi
- fao kujitoa hilo lisahauike kabisa
- wapinzani watahamishwa nchini, watakao kaidi risasi zitawahusu.
- watumishi wa umma wasahau nyongeza za mishahara
- ukomo wa raisi kuongoza mihula 2 itaondolewa.
Angalia tusizomewe sisi,ndio maana na walaumu wanaotumia kichaka Cha uzalendo visivyo.Ndio Mkuu kilichobaki tuwazomee Wapinzani
Mta lima kwa menoMbona tutasaga meno
Hats hapa tunahitaji kuona uzalendo uliopo,halisi au usio halisi.Angalia matokea ya advanced level mwaka huu wewe kapuku acha ubishi
Chadema stress zitawauawa
Mmechakachua kwa ajiri ya uchaguzi si unajua ndalochako bado anapenda ugali wakeAngalia matokea ya advanced level mwaka huu wewe kapuku acha ubishi
Nilikuona mkuu..ukiwe biz unatupia vitu jamvini. Tukabdilishana mawili matatu ya kupeana shime. Hakika wewe ni mtu mwema tofauti kabisa na uzi zako humu jamvini. Lakini unaeleweka.
Msanii gani amefunika wenzake?
Magufuli anajua wabunge wa ccm hawajitambui, hivyo anaweza kuwabana, na lengo hasa ni kuhakikisha wanamuongezea muda wa kukaa madarakani.
[/QUOTE
Hiki ni kithibitisho kuwa wabunge hawachaguliwi na wananchi, wanateuliwa na remote ya Rais kupitia tume. Ntawashangaa CDM msipotunza ushahidi huu muhimu kwenye mafaili.
Nasikia zile pesa waliyochanga wafanyabiashara na watu wengine kwa ajiri ya Coron ndo ambazo ccm wanawanunua wasanii wote..... [emoji848][emoji848]
Huu ushetani wa ccm mpaka. Lini
Mmechakachua kwa ajiri ya uchaguzi si unajua ndalochako bado anapenda ugali wake
Hats hapa tunahitaji kuona uzalendo uliopo,halisi au usio halisi.
Pale fiesta inapokamilka jamuhuri stadium
Tamasha la wasanii Morogoro
Angalia tusizomewe sisi,ndio maana na walaumu wanaotumia kichaka Cha uzalendo visivyo.
View attachment 1556789
Tamasha la bure kabisa tume enjoy mzikimzuri