Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.

Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.

Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.

Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.

Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Jichanganye sasa uoneee
 
Naona ndio mnaemtegemea, kuna mwenzio humu anaitwa Lord denning alaifurahi kweli aliposikia kigogo karudi kule twiter
We ndo unamfahamu amekufanyia nini mbona unamtaja hivo inaonekana kuna kitu amekufanyia huwezi kumsahau
 
We ndo unamfahamu amekufanyia nini mbona unamtaja hivo inaonekana kuna kitu amekufanyia huwezi kumsahau
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nasikia atadukua NEC na kumtangaza Lisu ameshinda?
[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ni kweli hata kanda ya Ziwa aliyoitegemea kwa 100% kumbe kila mtu anataka kuona maendeleo yake binafsi sambaba na maendeleo ya Serikali.

Wanaona Rais anatembea na misafara ya magari mamia huku akisema anabana matumizi. Hawamuelewi kabisa.
Kila mtu anahitaji pesa kama wakubwa walivyojilimbikizia Mali huku wakijiita wazalendo mbele ya watu waliolala kwa mlo mmoja.
Binadam kama jamii zetu zilivyo mtu akitaka kuoa anahitaji fedha, akihitaji kutahiri mtoto anahilesstaji pesa.
Akitaka Chakula anahitaji pesa. Akihitaji nguo anahitaji pesa, akipatwa na msiba anahitaji pesa. Akisafiri anahitaji pesa. Akiugua anahitaji pesa. Shule bora zinahitaji pesa. Mbolea inahitaji pesa. Sadaka na michango ya kidini zinahitaji pesa.
Sasa kuwadanganya watu kuwa pesa sio muhimu badala yake wafunge mikanda tuu Hulu wao wakila bata
 
Ebu taja ni wapi kwa magufuli kwenye campeni zake palipopwaya.
Matarajio yake ni kuwa upinzani kaumaliza ila anashangaa hadi Mwanza Lissu kapata mapokezi makubwa!
Pamoja na kujenga flyover na kununua ndege,lakini bado analipa wasanii mabilioni ili kuvutia watu kwenye mikutano yake!Huku ndio kupwaya kwenyewe!
 
Back
Top Bottom