Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Mwaka huu hadi mkate mauno na kuropoka hovyo,kazi mnayoUmesahau kumalizia, kwamba vilevile anamfuatilia lissu kupitia Jamii forum.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu hadi mkate mauno na kuropoka hovyo,kazi mnayoUmesahau kumalizia, kwamba vilevile anamfuatilia lissu kupitia Jamii forum.
Aise nilikuwepo hapo mkuu, nimechelewa kuuona hii.Kwa aliyeko uwanjani njoo hapa jukwaa la wasanii tufahamiane
Manakazia kwa kigogo?Tunakazia hapo hapo mropoke vizuri
Hapo hapo kwa mropokaji hana breki lolote litakalokuja ndo hilo hiloManakazia kwa kigogo?
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kigogo we ndo unamjua ndo maana unarudia kumtaja tajaManakazia kwa kigogo?
[emoji3][emoji3][emoji3]
Naona ndio mnaemtegemea, kuna mwenzio humu anaitwa Lord denning alaifurahi kweli aliposikia kigogo karudi kule twiterKigogo we ndo unamjua ndo maana unarudia kumtaja taja
Jichanganye sasa uoneeeWakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
We ndo unamfahamu amekufanyia nini mbona unamtaja hivo inaonekana kuna kitu amekufanyia huwezi kumsahauNaona ndio mnaemtegemea, kuna mwenzio humu anaitwa Lord denning alaifurahi kweli aliposikia kigogo karudi kule twiter
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nasikia atadukua NEC na kumtangaza Lisu ameshinda?We ndo unamfahamu amekufanyia nini mbona unamtaja hivo inaonekana kuna kitu amekufanyia huwezi kumsahau
Ebu taja ni wapi kwa magufuli kwenye campeni zake palipopwaya.Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!
Acha mambo ya umbea kijana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nasikia atadukua NEC na kumtangaza Lisu ameshinda?
[emoji41][emoji41][emoji41]
Mleta mada atakuwa anamfuatilia Magufuli kupitia account ya twitter ya kigogo
Umbea wakati viongozi wako ndio wameweka tumaini kwake?Acha mambo ya umbea kijana
Mgombea wenu ndio anaropoka.Mwaka huu hadi mkate mauno na kuropoka hovyo,kazi mnayo
Matarajio yake ni kuwa upinzani kaumaliza ila anashangaa hadi Mwanza Lissu kapata mapokezi makubwa!Ebu taja ni wapi kwa magufuli kwenye campeni zake palipopwaya.