Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Hiyo ni sheria, Ccm haizungumzii vitu vidogo vidogo

Ccm haifuati wagombea wanatumika na Mabeberu
 
Hili ndilo limempanikisha Sana. Mwanzoni alidhani atapita bila kuwa na upinzani. Akijua atawapachika akina Lipumba upinzani bubu, halafu yeye akapeta kiulani. Sasa amekuja mbeba maono kijasho kinamtoka.
Alijua atatumia zake chafu alizokuwa anazitumia kipindi akiwa mbunge
 
K
Hii ni sera ambayo watumishi hawajaisikia kutoka ccm, kwanini hawataki kuigusia, ina maaga sio muhimu kwa watumishiw ote wa umma?, je watumishi wana hali gani kutosikia sera hii kutoka ccm.
UONGEZA MISHAHARA SIYO SERA ELEWA MAANA YA SERA NDIYO ULETE ANDIKO LAKO HAPA.
 
Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.

Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.

Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.

Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.

Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Acheni kupotosha watu kwa sera mnazopost za upuuzi tu ivi mnanzania kuongoza nchi ni kazi rahisi au kazi ni kukaa na kukosoa vitu vya kijinga tu Magufuli kaweza na kasubutu kufanya yake kama huwezi kupost vitu vya msingi tafuta kazi ufanye sio kudanganya watu
 
Kwani hajaanza kula mahindi?
Nipo hosp. ila nimecheka Sana kwamba hajaanza Kula mahindi kwani yeye genda eka? Kipindi hiki atakula hadi michembe matobolwa mlenda aina ya mwage wamdhibiti Kula asijeleta shida ya kuchimba dawa mara ooh tumbo maana anaweza kwenda sehemu akala maboga, mahindi ya kuchoma, miwa, mayai akajikuta anapiga viboli.
 
Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!
wananchi kwa sasa hawashoboki na kampeni coz wanajua magu ndo mshindi, kama huamini subiri matokeo oct.
 
Unaweza ukatofautisha kati ya sera, sheria na haki? kwanini sheria inasema kila mtanzania ana haki ya kufanya kazi, sio haki hiyo, kwanini imewekwa kwenye ilani ya ccm kuwa wataongeza ajira mil 1 laki 8. nikujulishe tu kuwa kuna muingiliano, hakuna sera ambayo itakuwa inakiuka haki za bina damu wakati ina ainishwa, sera haikiuki sheria, haki anapewa yeyote ikiwa ndani ya sheria na ikiwa haikiuki haki za binadamu. sasa niambie unayo sema ww sera haikowapi,
 
Kimbieni tu kwa kujitetea baada ya kuona mmefeli kulitekeleza litawakaba tu maana ipo kwenye mkataba wa kazi labda kama ww sio muajiriwa
Hiyo ni sheria, Ccm haizungumzii vitu vidogo vidogo

Ccm haifuati wagombea wanatumika na Mabeberu
[/QUOT
 
Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.

Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.

Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.

Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.

Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
KAPOTEZA MVUTO KABISA
 
Wenzako wameongezewa mshahara labda km Wewe umeajiriwa makao makuu ya Chadema ndio hawajaongezewa
Kimbieni tu kwa kujitetea baada ya kuona mmefeli kulitekeleza litawakaba tu maana ipo kwenye mkataba wa kazi labda kama ww sio muajiriwa
 
hao wawinda ndege nadhani wana ahueni kubwa kuliko maelfu ya wasomi wasojitambua, wanaohitaji daily wapewe haki na uhuru wa kutukana watu then wakinyimwa wanahisi hawajatendewa haki.
Umenikbusha yule wa jararani
 
Back
Top Bottom